inatakiwa wafanyakazi wote wasiende kazini kwa siku hata mbili, mtu inafikia unadai mshahara wa miezi ishirini unadhani nani anakulipa bado na TRA wanatakiwa kupewa chao, Tanesco, Maji,.... jiongezeni Meedia zipo nyingi tupa karata huko huwezi jua bahati yakoWakuu dialo kapotelea wapi,? Mbona wafanyakazi wake wanahaha hvyo?
Ambacho amjui ni kwamba hawa walisimamishwa kazi tangu mwezi wa tatu wakaambiwa watapewa stahiki zao zote ndio mpaka leo wanazingushwa,wakandana kama hivi jamaa anawapoza kwa lakimoja moja anawambia baad wiki moja wanalipwa anakaidi makubaliano .inatakiwa wafanyakazi wote wasiende kazini kwa siku hata mbili, mtu inafikia unadai mshahara wa miezi ishirini unadhani nani anakulipa bado na TRA wanatakiwa kupewa chao, Tanesco, Maji,.... jiongezeni Meedia zipo nyingi tupa karata huko huwezi jua bahati yako
Hahahaaaaa.....inatakiwa wafanyakazi wote wasiende kazini kwa siku hata mbili, mtu inafikia unadai mshahara wa miezi ishirini unadhani nani anakulipa bado na TRA wanatakiwa kupewa chao, Tanesco, Maji,.... jiongezeni Meedia zipo nyingi tupa karata huko huwezi jua bahati yako
View attachment 942338umeskia??
yan hiyo kampuni wafanyakazi wake wanakopa hadi kero, kuna watu nilisoma nao wananipiga mizinga hadi kero kama vp wafanyakazi wafungue kesi tu mahakamani au waandamane hadi whitehouse na cha zaidi wacha waisome tu namba maana ndio waliishobokea sana kampeni za kunguru wa kijani
Mbaya sana, kila nikiangalia star TV huwa nakumbuka thread za hao watu kutolipwa, anawadhalilisha halikadhalika na yeye pia.Yeah, wapo wanaolipwa kimya kimya, wakuu wa vitengo wanajilipa tu
Laana aliyopigwa diallo kwa kushiriki uchafu 2015 si ya kitoto !
mkulu hajamsahau, ipo siku. Huoni Ruge?Hii media si ndio ilitumika kumpigia chapuo mkulu 2015 hadi akaagiza Diallo akumbukwe kwny mgao wa keki ya taifa? Naona mkulu mwenyewe kamsahau....kile kibwagizo....ni kwa ujinga waoo eh ccm mbele kwa mbeleeeeee!
Hao uliowataja ni watanzania ukimtoa yahya mohammed?Aisee naona akina ivona kamuntu baruani muhuza, yahya mohamed, na mme wake ivona kamuntu raymond nyamwihura walisoma vizuri upepo ikabidi watimukie azam tv vinginevyo nao kusoma namba kunge wausu.
Kumbe ni wawapi maana baruani ni muha wa kigoma, nyamwihura na ivona sinawakika vizuri ila naisi wanatokea kagera.Hao uliowataja ni watanzania ukimtoa yahya mohammed?
Dah kwa hiyo naye hadi augue mkuu?mkulu hajamsahau, ipo siku. Huoni Ruge?
Wanaojiitaga Waha hua ni Warundi hilo jina ni la kirundi typical hao nyamwihura kama wanadai wanatoka Kagera possibly Ngara ni Wanyarwanda hata huyo Kamuntu ni Mnyarwanda kwa majina yakr tu hayo ukiyasikia na haswa kama ushawahi kaa mipakani i.e Kigoma na KageraKumbe ni wawapi maana baruani ni muha wa kigoma, nyamwihura na ivona sinawakika vizuri ila naisi wanatokea kagera.
Kwahyo wote wanaotokea kagera na kigoma sio raia wa tanzania?Wanaojiitaga Waha hua ni Warundi hilo jina ni la kirundi typical hao nyamwihura kama wanadai wanatoka Kagera possibly Ngara ni Wanyarwanda hata huyo Kamuntu ni Mnyarwanda kwa majina yakr tu hayo ukiyasikia na haswa kama ushawahi kaa mipakani i.e Kigoma na Kagera
Unaanza na jina lake halafu unafuatia na sehemu anayotokea unapata jibu tu huyu sio wa hukuKwahyo wote wanaotokea kagera na kigoma sio raia wa tanzania?