- Thread starter
- #21
Daa mkuu umenifungua macho kiasi.Utajiri siri yake ngumu sana , wala si yeye peke yake ni karibu matajiri wote wana tabia hizi .
Huko kwenye chama wamejiegesha kulinda mali zao dhidi ya hatari kama hizi. Hata huyo mzee was wanyonge angalia actions zake dhidi ya wafanyakazi na watu wengine, kama kuna utu huo. Maisha si fair hata kidogo