Wafanyakazi wa Sahara Media Group wagoma wakidai stahiki zao

HAO NAO WAOGA KILA SIKU MARA WAGOME MARA WALALE NJE YA STUDIO
CHAKUCHANGAZA KESHO YAKE WANARUDI TENA KAZINI, SI WAENDE MAHAKAMANI??
Mkuu hawa wameachishwa kazi bila kulupwa stahic zao,na walioenda mahakamani huu ni mwaka wa tatu hakuna kinachoendelea
 
Hivi huyu dialo ni kiongozi wa Chama gani hapo mkoaaa wa mwanza

Ova
 
Aisee naona akina ivona kamuntu baruani muhuza, yahya mohamed, na mme wake ivona kamuntu raymond nyamwihura walisoma vizuri upepo ikabidi watimukie azam tv vinginevyo nao kusoma namba kunge wausu.
Huko nako wataanza kusoma namba muda si mrefu maana hakuna kazi tena
 
Kwa kuwa siku hizi Kichaa anagawa hela atakavyo basi na ampe swahiba wake aliyechangia sana "ushindi"🤔 wake msaada
 
Na jamaa bado utamkuta pale malaika hotel/Ryans bay hotel yuko anakula zake bata na totoz,hana habari wala nini.
Huyu jama ana dharau sana, ila niseme tu wafanyakazi nao ni shida, maana hata muda huu wapo wanaondesha vipindi kwenye media zake
 
Hivi hakuna mtu wa kuweza kuwasaidia hawa watu wakalipwa stahiki zao ?watakufa waziache jamani wasaidieni hawa watu,kilichonisikitisha ni hao watoto wanafunzi jamani.
Hawa watu si waache kufanya kaz kwake Kwani lazima kufanya kaz kwa dialo
 
Tuombe mungu ampe Diallo uwezo na moyo pia wa kuwalipa watu wake ili kukaa mbali na dhambi hii. Wote tuseme inshaaallaah
Inasikitisha sana! Wafanyakazi wake wanapita kipindi kigumu sana na hii ni kigezo tosha cha kumvua hicho cheo huko Ccm.
 
Ili kulinda chama chako,kiwe kisafi lipa hawa wafanyakazi wako mishahara yao.bosi wako ambae ni Rais Magufuli,anasrma yeye ni raisi wa wawanyonge,iweje wewe unawanyanyasa wanyonge?

Wafanyakazi wako wanakufa kwa mawazo ya kukosa pesa,mfano mzuri ni Samadu Hasan,Zuberi Msabaha, John Ngayoma,James George,Jamaa wa Futuhi,wote wamekufa sababu ya stress za kutolipwa
mishahara,kwa nini hauna utu?

Jana pia umefatwa na wafanyakaz wako na familia zao kudai mishahara wewe huna habari,

TAFADHALI RAIS MAGUFULI
LIANGALIE HILI.
Aisee! Hivi hawa uliowataja, ni kweli wamekupa? Au?!..
 
Aisee, ndio maana Dotto Bulendu simuoni,
Nlipenda tuongee asubuhi.
Ila nadhani kuna watu anawalipa kimya kimya, kuna mtangazaji yupo nadhani tangu miaka ya 2000 hadi leo, sasa watangazaji wazur RFA na Kiss fm hasa wale foreigners nadhani waliondoka.
Anashusha hadhi ya media yake.
RIP Samadu, Zuberi, no justice on earth
Yeah, wapo wanaolipwa kimya kimya, wakuu wa vitengo wanajilipa tu
 
Hivi Antone Mavunde kazi yake nini? Unashindwa kweli kuwasaidia hawa watu? Kuna vijana wengine pia ni mizigo tu.
Mh. Mavunde akisoma hapa atanisamehe tu with but with all due respect mimi namuonaga anavaa kibrazamen tu visuti vya kubanabana,miwani kubwa kubwa kama za wasanii lkn inapokuja kwny masuala ya ajira na vijana sioni kama ana msaada wowote ule.

Kiukweli mh.Magu anakuvumilia tu,lkn msaada wako kwa vijana wahangaikaji siuonagi kwa kweli.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom