Acha kujibu pumba mkuu jenga hoja. Hajasema kuvunja TUCTA, hoja suala ni kukosekana option kama wakati wa chama kimoja watu wasiokua CCM walikosa mbadala na wala sio kuivunja CCMHata kwenye siasa hulazimishwi kujiunga. Ushiriki wa vyama vya wafanyakazi ni hiyari. Hoja yako ya kuivunja TUCTA ni mufilisi
Mfanyakazi wa kuiwajibisha TUCTA yuko wapi?Ndio maana huwa nasema siielewi logic ya Watanganyika wenzangu.Zanzibaris are better.Sijui sisi walizidisha Aluminium na Thimerosal(Mercury)Chama chochote cha wafanyakazi kwa mujibu wa sheria ya nchi yetu, ni mhimili ulio kati kuangalia maslahi ya Mwajiriwa na Mwajiri. Lakini kwa kuwa vyama vya wafanyakazi hapa nchini mwetu Historia yake inafungamanishwa na siasa za nchi hii, vimekuwa kama ni sehemu ya Mwajiri na kazi yake kubwa imekuwa ni "kuwaelewesha" wafanyakazi ni kwa nini jambo fulani linashindikana kutekelezwa na Mwajiri.
TUCTA ambayo ni kama shirikisho la Vyama vya wafanyakazi Tanzania, imekuwa haionekani kama inafanya jambo lolote la maana kwa maslahi ya wafanyakazi zaidi ya kuandaa sherehe za Mei Mosi na kuandika risala ndeefu ambayo atasomewa "Mgeni Rasmi" ambaye mara nyingi kama si zote hutoka serikali na aghalabu huwa Rais wa Nchi!
Baada ya "majibu" ya Mgeni Rasmi TUCTA huondoka na kusubiri tena mwaka unaofutia kuleta tena malalamiko yao kwa "Mwajiri Mkuu" na kama kawaida hutolewa ahadi na mwisho wa siku hakuna kinachobadilika! Hivi TUCTA kazi yake ni hiyo tu ya kuandaa sikukuu ya Mei Mosi?
Msimamo wa TUCTA kuhusu kwa mfano kwa mambo kama kusimamishwa kwa wafanyakazi kutokupandishwa daraja, kuzuiwa kubadili aina yaka kazi, kutumiwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa miradi ambayo wafanyakazi hawafaidiki nayo, wafanyakazi wa sekta binafsi kukosa mikataba inayoeleweka na kazi zinazotakiwa kufanywa na watanzania kufanywa na watu wa nchi za nje ukoje?
Hivi leo TUCTA ikivunjwa ni kitu gani ambacho wafanyakazi wa Tanzania watakikosa kwa kutokuwepo kwa TUCTA? Wakati naangalia Mgomo wa Madaktari na Waalimu kule Kenya, nikajiuliza kama sisi Tanzania tuna vyama vya wafanyakazi imara kama vya wenzetu Kenya ambavyo vinaweza kuendesha migomo kwa siku zaidi ya 100 bila ya kutetereka!!
Chanjo ya Ndui?kwenye chanjo!?
Zote!Chanjo ya Ndui?
TUCTA Ni shirikisho la vyama Na Ni hiyari kujiunga. Hujui hata unachotetea Wala kubishiaAcha kujibu pumba mkuu jenga hoja. Hajasema kuvunja TUCTA, hoja suala ni kukosekana option kama wakati wa chama kimoja watu wasiokua CCM walikosa mbadala na wala sio kuivunja CCM
Chama chochote cha wafanyakazi kwa mujibu wa sheria ya nchi yetu, ni mhimili ulio kati kuangalia maslahi ya Mwajiriwa na Mwajiri. Lakini kwa kuwa vyama vya wafanyakazi hapa nchini mwetu Historia yake inafungamanishwa na siasa za nchi hii, vimekuwa kama ni sehemu ya Mwajiri na kazi yake kubwa imekuwa ni "kuwaelewesha" wafanyakazi ni kwa nini jambo fulani linashindikana kutekelezwa na Mwajiri.
TUCTA ambayo ni kama shirikisho la Vyama vya wafanyakazi Tanzania, imekuwa haionekani kama inafanya jambo lolote la maana kwa maslahi ya wafanyakazi zaidi ya kuandaa sherehe za Mei Mosi na kuandika risala ndeefu ambayo atasomewa "Mgeni Rasmi" ambaye mara nyingi kama si zote hutoka serikali na aghalabu huwa Rais wa Nchi!
Baada ya "majibu" ya Mgeni Rasmi TUCTA huondoka na kusubiri tena mwaka unaofutia kuleta tena malalamiko yao kwa "Mwajiri Mkuu" na kama kawaida hutolewa ahadi na mwisho wa siku hakuna kinachobadilika! Hivi TUCTA kazi yake ni hiyo tu ya kuandaa sikukuu ya Mei Mosi?
Msimamo wa TUCTA kuhusu kwa mfano kwa mambo kama kusimamishwa kwa wafanyakazi kutokupandishwa daraja, kuzuiwa kubadili aina yaka kazi, kutumiwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa miradi ambayo wafanyakazi hawafaidiki nayo, wafanyakazi wa sekta binafsi kukosa mikataba inayoeleweka na kazi zinazotakiwa kufanywa na watanzania kufanywa na watu wa nchi za nje ukoje?
Hivi leo TUCTA ikivunjwa ni kitu gani ambacho wafanyakazi wa Tanzania watakikosa kwa kutokuwepo kwa TUCTA? Wakati naangalia Mgomo wa Madaktari na Waalimu kule Kenya, nikajiuliza kama sisi Tanzania tuna vyama vya wafanyakazi imara kama vya wenzetu Kenya ambavyo vinaweza kuendesha migomo kwa siku zaidi ya 100 bila ya kutetereka!!
Duniani hakuna haki, kuna "mazingira pendwa" tu.TUCTA ni janga kama yalivyo majanga mengine. Wafanyakzi wanastaafu fedha zao wanapewa kwa awamu hii ni haki? Fedha mtu akatwe miaka hadi 30 leo unampangia matumizi eti apewe kwa awamu? Mateso kwa mfanyakazi wa nchi hadi lini jamani? Hii inauma sana sana.
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!
Tatizo la wafanyakazi wa Tanzania ni mahaba yao ya kupindukia kwa CCM!!Wewe jaribu tu kulinganisha na wenzetu wa nchi jirani kama Kenya na Uganda, you can really see the difference...!!!
Ni kweli kwamba wanachama wa TUCTA ndio wanaifanya iwepo kuipitia vyama vya kisekta, na sheria ya kazi ya mwaka 2004 ambay ilianza kutumika mwaka 2006 baada ya kukamilika kwa uandaaji wa procedure za utekelezaji wa sheria yenyewe.Kwa sababu hakuna mbadala na kwa kuwa hakuna uwezekano wa kubadili mfumo uliopo angalau kwa sasa, mimi niliamua kutokuwa mwanachama ili kuokoa vijisenti vyangu ambavyo ningekatwa kila mwezi!
Ni kweli kabisa mkuu, yaani dhuluma tuliyofanyiwa kwenye fao la kujitoa basi tu. Sijui haya ma TUCTA kazi yao nini, hotuba ndefuuu kila mwaka pumba tupu. Wameshindwa kabisa kutetea wafanyakaziPia leo hii kuna utata mkubwa kuhusu michango ya wafanyakazi katika mifuko ya hifadhi ya jamii. Inaeleweka kuwa, kwa sababu ya usalama mdodo wa ajira " job insecurity" mifuko mingi iliweka fao la kujitoa " withdrawal benefit". Kwa sasa hali ni mbaya zaidi kuhusu usalama wa ajira sokoni , watu wengi wanasimamishwa kazi, makampuni yanafungwa,- kwa kweli mahitaji ya fao hili ni makubwa zaidi kuliko kipindi chochote kile huko nyuma
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!
Wafanyakaz wa nchi gani? Tanzania! Sahau!