Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,837
- 50,541
- Thread starter
- #41
Watoke tu!!TUCTA wala hawaonekani kusema lolote, wamejawa uoga kuliko hata watumishi wenyewe. Watoke ili tuanze upya.
Watoke tu!!TUCTA wala hawaonekani kusema lolote, wamejawa uoga kuliko hata watumishi wenyewe. Watoke ili tuanze upya.
Tulipo bado panakupa shida kuelewa sina uhakika kama waweza kutuelezea historia japo ya miaka 40 nyuma juu ya vyama vya wafanyakazi!Sijui kwa nini huelewi mantiki rahisi namna hii. Kwa kabla ya hiyo sheria wafanyakazi walikuwa wanaendeshaje hali zao za ajira? Hivi unafahamu nguvu aliyo nayo msajili wa vyama vya wafanyakazi na unajua idadi ya wafanyakazi wanaoweza kuunda chama chao cha wafanyakazi na wakifikisha idadi kiasi fulani inakuwa kama ni lazima kwa watu wa kada hiyo kuwa wanachama wa hicho chama? Unafahamu kuna mgogoro kati ya CWT na waalimu wengi wa sekondari.
Kuna vyama huundwa kwa shinikizo la wafanyakazi na kuna vyama huundwa kwa maslahi ya watawala. Unataka kutuambia kwamba ni wafanyakazi wenyewe waliamua kuiua TLA na kuanzisha NUTA na walipoona NUTA haiwafai wakaanzisha JUWATA kisha wakaitupitilia mbali JUWATA na kuanzisha OTTU kabla ya kuishia kwenye TUCTA?
Historia ni msingi na leo ni nyumba yenyewe. Kwani TUCTA ipo kwa maslahi yepi hasa ya wafanyakazi wanayoyapigania?Tulipo bado panakupa shida kuelewa sina uhakika kama waweza kutuelezea historia japo ya miaka 40 nyuma juu ya vyama vya wafanyakazi!
Ni ngumu sana kwa zama hizi kumpata kiongozi yeyote kwenye taasisi yoyote ya ki hiari ambaye hana mlengo wa ki vyama vya kisiasa. Na after all watu wengi wengi wenye uthubutu wa kugombea huwa wana vielement vya politics. Na hiki hasa ndo kitakachoua nguvu ya vyama kama TUCTA. Labda ifikie mahali viwe matawi ya kisiasa ili wakati mgombea urais akijinadi awe akitueleza ni kwa namna gani TUCTA ya chama chake itatufanyia akishaingia madarakani. Vinginevyo ni hovyo kabisa.Umesoma na swali ama umekimbilia kuangalia sare za chama na kugombea Ubunge? Likija suala ambalo litaiondoa CCM Madarakani atasisimama upande gani. Atasimama upande wa serikali ama wa wafanyakazi?
Huoni nimetoa mfano wa COSATU na ANC. Unadhani misimamo ya COSATU zama za Apartheid na sasa inafanana?
Usichokielewa ni kwamba kama una maslahi kuwili (Conflict of interest) ni lazima kwanza utangaze ni maslahi yepi uliyo nayo kwneye jambo husika. Kwa mfano Marekani maslahi ya kila Jaji yanajulikana lakini haipunguzi wala kuondoa kwamba wao ni Majaji na hukumu zao huwa zinajulikana kabla ya kutolewa.Labda ifikie mahali viwe matawi ya kisiasa ili wakati mgombea urais akijinadi awe akitueleza ni kwa namna gani TUCTA ya chama chake itatufanyia akishaingia madarakani. Vinginevyo ni hovyo kabisa.
Dogo soma upya sheria ya ajira na mahusiano kazini 2004Acha kuongopea watu, vyama vya wafanyakazi ni vya lazima siyo hiari. Hiari gani ambayo kulipa michango ni lazima? Hivi vyama vinatakiwa viwe vya hiari kwa maana kwamba wachukue tu michango ya wanachama. Ok wanajitetea eti ni lazima kuchangia kwa sababu eti lolote watakalolitetea litafaidisha wote NONSENSE. Huu ni wizi wa mchana kweupe, hakuna lolote wanalofanya zaidi ya kila mwaka kulalamikia kima cha chini utadhani watumishi wote tuko kima cha chini. Kwenye sekta binafsi pengine % kubwa ya waajiriwa wako kcc. Serikalini kcc nadhani hawawezi kuwa zaidi ya 20% ya watumishi wote na kwa hivyo it brings no sense kutupotezea muda kwa masuala ya kima cha chini kila mwaka. Halafu kuna hii issue ya CBA, tangu serikali ya 5 imeingia madarakani kumekuwa na dalili zote kwamba haiko interested na Mikataba ya hali bora makazini. TUCTA wala hawaonekani kusema lolote, wamejawa uoga kuliko hata watumishi wenyewe. Watoke ili tuanze upya.
Hujajibu swali. Nioneshe kifungu cha sheria kinachomlazimisha mfanyakazi kujiunga na chama cha wafanyakaziKwenye sheria kuna kitu kinaitwa hiyari yenye shurti. Kwa mfano ni hiyari kujiunga na chama cha siasa nchini lakini ni lazima ukitaka kugombea nafasi za uongozi za kisiasa ni lazima uwe mwanachama chama cha siasa. Kwa hivyo "Hiyari" ya kujiunga na chama cha siasa inageuka kuwa lazima kwani huwezi kugombea nafasi kama Uenyekiti wa mtaa/kijiji, Udiwani, Ubunge ama Urais bila kwanza kuwa mwanachama wa chama cha siasa. Sijui umenielewa??
Hata cwt Ni ya kuvunja piaChama chochote cha wafanyakazi kwa mujibu wa sheria ya nchi yetu, ni mhimili ulio kati kuangalia maslahi ya Mwajiriwa na Mwajiri. Lakini kwa kuwa vyama vya wafanyakazi hapa nchini mwetu Historia yake inafungamanishwa na siasa za nchi hii, vimekuwa kama ni sehemu ya Mwajiri na kazi yake kubwa imekuwa ni "kuwaelewesha" wafanyakazi ni kwa nini jambo fulani linashindikana kutekelezwa na Mwajiri.
TUCTA ambayo ni kama shirikisho la Vyama vya wafanyakazi Tanzania, imekuwa haionekani kama inafanya jambo lolote la maana kwa maslahi ya wafanyakazi zaidi ya kuandaa sherehe za Mei Mosi na kuandika risala ndeefu ambayo atasomewa "Mgeni Rasmi" ambaye mara nyingi kama si zote hutoka serikali na aghalabu huwa Rais wa Nchi!
Baada ya "majibu" ya Mgeni Rasmi TUCTA huondoka na kusubiri tena mwaka unaofutia kuleta tena malalamiko yao kwa "Mwajiri Mkuu" na kama kawaida hutolewa ahadi na mwisho wa siku hakuna kinachobadilika! Hivi TUCTA kazi yake ni hiyo tu ya kuandaa sikukuu ya Mei Mosi?
Msimamo wa TUCTA kuhusu kwa mfano kwa mambo kama kusimamishwa kwa wafanyakazi kutokupandishwa daraja, kuzuiwa kubadili aina yaka kazi, kutumiwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa miradi ambayo wafanyakazi hawafaidiki nayo, wafanyakazi wa sekta binafsi kukosa mikataba inayoeleweka na kazi zinazotakiwa kufanywa na watanzania kufanywa na watu wa nchi za nje ukoje?
Hivi leo TUCTA ikivunjwa ni kitu gani ambacho wafanyakazi wa Tanzania watakikosa kwa kutokuwepo kwa TUCTA? Wakati naangalia Mgomo wa Madaktari na Waalimu kule Kenya, nikajiuliza kama sisi Tanzania tuna vyama vya wafanyakazi imara kama vya wenzetu Kenya ambavyo vinaweza kuendesha migomo kwa siku zaidi ya 100 bila ya kutetereka!!
Siri yao!!Sasa TUCTA wameongea nini na Rais? Watuambie
Je Fao la Kujitoa? nini msimamo wa Rais?
cwt umesahau ni ya kufutaChama chochote cha wafanyakazi kwa mujibu wa sheria ya nchi yetu, ni mhimili ulio kati kuangalia maslahi ya Mwajiriwa na Mwajiri. Lakini kwa kuwa vyama vya wafanyakazi hapa nchini mwetu Historia yake inafungamanishwa na siasa za nchi hii, vimekuwa kama ni sehemu ya Mwajiri na kazi yake kubwa imekuwa ni "kuwaelewesha" wafanyakazi ni kwa nini jambo fulani linashindikana kutekelezwa na Mwajiri.
TUCTA ambayo ni kama shirikisho la Vyama vya wafanyakazi Tanzania, imekuwa haionekani kama inafanya jambo lolote la maana kwa maslahi ya wafanyakazi zaidi ya kuandaa sherehe za Mei Mosi na kuandika risala ndeefu ambayo atasomewa "Mgeni Rasmi" ambaye mara nyingi kama si zote hutoka serikali na aghalabu huwa Rais wa Nchi!
Baada ya "majibu" ya Mgeni Rasmi TUCTA huondoka na kusubiri tena mwaka unaofutia kuleta tena malalamiko yao kwa "Mwajiri Mkuu" na kama kawaida hutolewa ahadi na mwisho wa siku hakuna kinachobadilika! Hivi TUCTA kazi yake ni hiyo tu ya kuandaa sikukuu ya Mei Mosi?
Msimamo wa TUCTA kuhusu kwa mfano kwa mambo kama kusimamishwa kwa wafanyakazi kutokupandishwa daraja, kuzuiwa kubadili aina yaka kazi, kutumiwa kwa fedha za mifuko ya Hifadhi ya jamii kwa miradi ambayo wafanyakazi hawafaidiki nayo, wafanyakazi wa sekta binafsi kukosa mikataba inayoeleweka na kazi zinazotakiwa kufanywa na watanzania kufanywa na watu wa nchi za nje ukoje?
Hivi leo TUCTA ikivunjwa ni kitu gani ambacho wafanyakazi wa Tanzania watakikosa kwa kutokuwepo kwa TUCTA? Wakati naangalia Mgomo wa Madaktari na Waalimu kule Kenya, nikajiuliza kama sisi Tanzania tuna vyama vya wafanyakazi imara kama vya wenzetu Kenya ambavyo vinaweza kuendesha migomo kwa siku zaidi ya 100 bila ya kutetereka!!
cwt ni pepoTucta in takakata kabisa na mtoto wao Cwt ,pumbavu kabisa hawa watu.
Kama unajua watakusaidia unalalamika nini sasa au shida yako unataka wewe wanaitukana serekali hizo ni Trade Unions za kizamaniWaulize wafanyakazi kama kuingia kwenye vyama vya wafanyakazi ni hiyari kama kujiunga kwenye vyama vya siasa!! Uhiyari upo kinadharia tu kwani kuna mambo mengi mfanyakazi hawezi kusaidiwa bila ya kuwa kwenye chama cha wafanyakazi cha sekta husika. Ufilsikaji wa mawazo huanza kwa kutokulielewa jambo lenyewe linalojadiliwa!!