Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Huulizi wafanyakazi soma sheria ya ajira na mahusiano kazini ya 2004. Unajenga hoja kwa hisia? Bavicha banaWaulize wafanyakazi kama kuingia kwenye vyama vya wafanyakazi ni hiyari kama kujiunga kwenye vyama vya siasa!! Uhiyari upo kinadharia tu kwani kuna mambo mengi mfanyakazi hawezi kusaidiwa bila ya kuwa kwenye chama cha wafanyakazi cha sekta husika. Ufilsikaji wa mawazo huanza kwa kutokulielewa jambo lenyewe linalojadiliwa!!