Habari wadau.
Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao.
Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri Mpaka manager alivyokuja ndipo akanielekeza cha kufanya.
Mwaka huu tena wamenishangaza tena.. nilipita msiba wa mzazi wangu ambaye ni mteja wao wa miaka mingi. Tangu enz za nbc na nmb ni same bank.
Baada ya msiba nikaenda toa taarifa ya msiba ili wa freeze account wakati taratibu za mirathi zinaendelea mahakamani. Nikaambiwa kufunga account kunahitaji cheti cha kifo barua ya mahakama , maana mahakama ndiyo yenye haki ya kufunga account baada ya kumteua msimamiz wa mirathi . Na wakaongezea bank itatoa mkono wa pole kwa ajili ya kurudishia gharama za mazishi za mteja wao.. maana hii ipo kwenye vipengele vya benefit za account ya marehemu. Wakanionesha vipengele vyao vyote. Nikaona hicho kipengele kinaitwa NMB faraja.
Mimi nikaondoka nikarudi na kuendelea taratibu za mahakama za mirathi.
Baada ya miezi 7 mahakama ikamteua msimamiz wa mirathi. Na akaelekezwa kwenda bank zote ambazo marehemu alikuwa anazitumia akapeleke barua za mahakama na kufunga account.
Siku msimamiz wa mirathi aliyoenda nmb akakumbushia kuhusu hicho kipengele cha NMB faraja. Bank wakajibu hicho kipengele huwa kinalipa ndani ya miezi sita tu toka marehemu afariki. Sasa miezi 7 halipwi tena..
Tukauliza why wasiweke maelezo clear toka mapema kama ni miezi sita tu. Ama hata kwenye website yao walipokielezea kwa nini wameficha huo muda wa miezi sita kama kweli wana nia ya kulipa wateja wao? Wakajibu wao hawajui .
Nikagundua staffs wengi wa NMB hawatoi maelezo sahihi kwa wateja sababu hawajui huduma zao zinaendeshwaje.
Wameishia kuandika maelezo nusu tu na wakaficha miezi sita
Eligible for Free NMB Faraja Insurance cover up to TZS 2,000,000*
Nmb kwenye hili mbadilike..
Kwa zaidi ya mara 1. Nimegundua bank yetu ya makabwela inapwaya sana kwenye training za staff wao.
Zamani kidogo Kuna siku nilienda kuprocess refund ya malipo online. Staff wote niliowakuta kila mmoja alikuwa haelewi process zilivyo. Na manager alikuwa ametoka. Ilibidi nimsubiri Mpaka manager alivyokuja ndipo akanielekeza cha kufanya.
Mwaka huu tena wamenishangaza tena.. nilipita msiba wa mzazi wangu ambaye ni mteja wao wa miaka mingi. Tangu enz za nbc na nmb ni same bank.
Baada ya msiba nikaenda toa taarifa ya msiba ili wa freeze account wakati taratibu za mirathi zinaendelea mahakamani. Nikaambiwa kufunga account kunahitaji cheti cha kifo barua ya mahakama , maana mahakama ndiyo yenye haki ya kufunga account baada ya kumteua msimamiz wa mirathi . Na wakaongezea bank itatoa mkono wa pole kwa ajili ya kurudishia gharama za mazishi za mteja wao.. maana hii ipo kwenye vipengele vya benefit za account ya marehemu. Wakanionesha vipengele vyao vyote. Nikaona hicho kipengele kinaitwa NMB faraja.
Mimi nikaondoka nikarudi na kuendelea taratibu za mahakama za mirathi.
Baada ya miezi 7 mahakama ikamteua msimamiz wa mirathi. Na akaelekezwa kwenda bank zote ambazo marehemu alikuwa anazitumia akapeleke barua za mahakama na kufunga account.
Siku msimamiz wa mirathi aliyoenda nmb akakumbushia kuhusu hicho kipengele cha NMB faraja. Bank wakajibu hicho kipengele huwa kinalipa ndani ya miezi sita tu toka marehemu afariki. Sasa miezi 7 halipwi tena..
Tukauliza why wasiweke maelezo clear toka mapema kama ni miezi sita tu. Ama hata kwenye website yao walipokielezea kwa nini wameficha huo muda wa miezi sita kama kweli wana nia ya kulipa wateja wao? Wakajibu wao hawajui .
Nikagundua staffs wengi wa NMB hawatoi maelezo sahihi kwa wateja sababu hawajui huduma zao zinaendeshwaje.
Wameishia kuandika maelezo nusu tu na wakaficha miezi sita
Eligible for Free NMB Faraja Insurance cover up to TZS 2,000,000*
Nmb kwenye hili mbadilike..