TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 812
- 969
Nawatafuta NMB, nilishawahi kuona uzi wao humu lakini sijui ulipo sasa.
Mashine za uwakala za NMB (POS) moja inauzwa TZS 1,106,000/= (Milioni moja laki moja na elfu sita). Ajabu ni kwamba, pamoja na bei kubwa kiasi hicho kuipata mashine ya NMB ni kazi ngumu mno. Nimeomba kwao kupatiwa hii mashine huku nikifuatilia mara kwa mara kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mimi ni wakala wao na natumia NMB app - NMB mkononi kuhudumia wateja, ambayo wateja wanaichukia hasa.
Wakati huohuo bank ya CRDB inauza mashine zake moja kwa TZS 400,000/= na niliipata muda mfupi tu baada ya kuomba.
Hivi NMB kwa nini mnakuwa hivyo ?
tf
Mashine za uwakala za NMB (POS) moja inauzwa TZS 1,106,000/= (Milioni moja laki moja na elfu sita). Ajabu ni kwamba, pamoja na bei kubwa kiasi hicho kuipata mashine ya NMB ni kazi ngumu mno. Nimeomba kwao kupatiwa hii mashine huku nikifuatilia mara kwa mara kwa zaidi ya mwaka sasa.
Mimi ni wakala wao na natumia NMB app - NMB mkononi kuhudumia wateja, ambayo wateja wanaichukia hasa.
Wakati huohuo bank ya CRDB inauza mashine zake moja kwa TZS 400,000/= na niliipata muda mfupi tu baada ya kuomba.
Hivi NMB kwa nini mnakuwa hivyo ?
tf