Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Alisema hivi kama hamtakikubaliana na Mimi kuwa serikali hainapesa yakuwalipa mshahara wa 315000/Kila mwezi ni bora hata hizo kura zenu za 2010 basi!!sasa sjui ndokuzikataa au :confused2:
Me sidhani hili jibu unalo litaka hapa ni kuwa mtoto wa Kindagate akujibu au maana mtoto wa std One anaweza jibu hilo na sio tungo tata,
Maana hapa mwataka kututafutia sababu ya kujaribu kulainisha lugha JK aonekane kuwa hajakosea??