Hon. Aikambe
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 443
- 70
mtahangaika sana, lakini tanzania itaongozwa na ccm miaka yote ya maisha yenu na vizazi vyenu
pole sana mtu kama ww si bure utakuta hta mke wako amekukalia, sana tu kama ww ni mwanaume, ccm itan'goka tu penda msipende,, kama Goliati alikuwa na nguvu nying ila alikufa kwa jiwe dogo, ndo kusema ccm hawa mdebwedo tu