AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,416
- 6,287
Hatari
Kama tutakufa kwa nini tunapambana na mambo ya dunia?Exactly..... ukienda umeenda mzee, hakuna cha makao mema, sijui pepo wala nini ...... kula maisha uwezavyo ,,,,, ukifa imeisha hio
Pumzi yake hutoka, huirudia ardhi yake!Na binadamu uenda wapi?
Mathayo 10:16..... imeandikwa na mathayo ariye ongozwa ra ROHO WA MUNGU.Imeandikwa na nai?
Hahaha, Utamtoa tu kama si kutapika basi kwenye haja na akifyonzwa na mwili wako ukifa utazikwa nae, usipozikwa ukachomwa ecosystems itakurudisha ardhini kwa mvua.Kuku unayemla anarudije mavumbini?
🤣🤣🤣🤣🤣Hayo maneno yameandikwa takribani miaka 2000 iliyopita au Yesu kalala usingizi
Kwa hiyo binadamu akimezwa na chatu harudi mavumbini?Kuku unayemla anarudije mavumbini?
Nadhani imekaa kisayansi zaidi, ila mtoa mada ameegemea kwenye vitabu vya dini.Kwani mleta mada hukusoma ..... FoodChain?
Amri ya sita ni kwa binadamu peke yake? Basi binadamu waliokufa ambao hawakufikiwa na elimu ya dini hawana dhambi.Kwani kuku ametenda kosa Gani hadi ahukumiwe?
Lini?Kwa akili zenu,siku hizi mnajifanya msioamini uwepo wa Mungu,ima kwa akili za kuoga au kutokusoma/kujifunza.
Kama alikuumba wewe kutoka kwenye shahawa za baba yako,hata ukiliwa na simba simba porini hashindwi kukufufua ukiwa kama alivyokuumba mwanzo.
Mungu anasema: atakufufueni kama alivyokuumba kwenye matumbo ya mama zenu.
Hata huyo kuku / ng'ombe unayemla Kila siku basi atafufuliwa kama alivyoumbwa mwanzo kabla hujamla
Ukiwa hushiriki ibada alafu ukafariki, siku ndugu na jamaa na marafiki wakienda kuomba msaada wa kuzikwa kwa viongozi wa dini wanakususia kana kwamba wao ndio wamekamata funguo za peponi.Kitu chochote chenye pumzi ....binadamu , wanyama, ndege, wadudu n.k ! Once kikifa, biashara imeishia pale ..... haijalilishi kimezikwa, fukiwa, chomwa moto ama kutelekezwa porini.....
Mambo ya peponi, mbinguni sijui malaika hakuna hio mambo ..... ukifa unaoza mzee kazi imeisha wanazaliwa wengine.......
Hizi dini hizi, wacha nisiongee sana
Mkuu hii sio dhihaka ni uhalisia ila wewe ndio unaleta dhihaka na utani in the name of imani. Hakuna siku ya mwishoImeandikwa siku za mwisho kutakuwa na dhihaka.... kuhusu kuja kwa YESU kwa hiyo endelea kutimiza unabii tu mkuu
Hata wewe binadamu ni kitoweo cha baadhi ya organisms na viumbe kama mbu na viruses.Kuku uliyemchinja ni kitoweo, ila waliokufa kwa magonjwa hugeuka mavumbi tu.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Asante mkuu.... ni suala la mda tu....Mkuu hii sio dhihaka ni uhalisia ila wewe ndio unaleta dhihaka na utani in the name of imani. Hakuna siku ya mwisho
Muda? Fanya imagination tu Adam kafa lini halafu jiulize nae bado anasubiri siku ya mwisho ifike!? Acha ubinafsi, amini Kuna siku itafika huko mbele ya safari na sisi tutaonekana ni kama tulikufa Enzi za Adam kwa kizaz kitakachokwepo miaka hiyo.Asante mkuu.... ni suala la mda tu....
Kama una amini adam kafa, na MUNGU ndiye aliyewaumba na akasema atamponda nyoka kichwa na ni unabii wa YESU kuja....Muda? Fanya imagination tu Adam kafa lini halafu jiulize nae bado anasubiri siku ya mwisho ifike!? Acha ubinafsi, amini Kuna siku itafika huko mbele ya safari na sisi tutaonekana ni kama tulikufa Enzi za Adam kwa kizaz kitakachokwepo miaka hiyo.
anarudi mavumbini kwa njia ya nyesiKuku unayemla anarudije mavumbini?