Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,137
- 12,715
Mungu ambariki Makonda, sisi watanzania we are proud of you! Wewe ndiye unayeielewa Tanzania ya sasa. Bravo! Mungu akulinde e MakondaMsikilize hapa Makonda Mkuu wa Mkoa wa arusha alipokuwa akiwaasa watendaji katika mkoa wake.
hakika nakubaliana naye kwa 100% kuwa vikundi vya watu wanafiki, wambeya, wafitini na wabadhirifu katika sehemu za kazi vina nguvu sana kuliko watu wachache waadilifu na watenda haki.
inahitaji kiongozi mwenye hekima na busara lakini makundi hayo maovu katika watumishi huwa yanaangamiza watendaji wazuri na weledi.