Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Ipo kazi jamani, yaani serikali inahitaji mkakati wa malezi nyumbani na shuleni. Pasipo hivyo waajiri wataendelea kuwa kataa Hawa vijana wa kileo. Hali ni mbaya kuliko deni la taifa linavyokua, vijana hawaajiriki bse hawaaminiki, simu kwao ndio boss na wengine mtasubiri, masihara ndio usiombe yaani I kama serikali haitaweka mkakati wa malezi utegemee kuona mabaya zaidi
Umenena vyema mkuu. Kuna kaz kubwa ya kufanya
 
Uzi umeusoma vizuri?
Umeelewa context ya mleta mada. Kwani ofisi yake ndio inaandika report ya mwanafunzi wa field na kuituma chuo?

Mwanafunzi amejua amekutana na changamoto gani, ni kazi yake kukuomba ushauri wa anachojaza na ni kazi yake kujua hapa amekamilisha au bado. Mwanafunzi mpaka anaondoka maana yake karidhika na response yako. Unasahihishwa au unasahihisha wewe mpaka ujue kwamba hapa hajamalizia kujaza logbook?

Na hata kama hajamalizia report haikuwa inakusanywa kesho yake, probably ni kama mwezi hivi mbele. Sioni ulazima wa kukesha naye muda wa kazi umeisha unang'ang'ana na kujadili report yake na kumwambia utakavyomuajiri. Unakasirika mtu akijua kutumia muda wake ipasavyo, unafuga watu ofisini ukiamua leo wanalala hapo basi wanalala kweli.

Jioni saa kumi na moja, siku ya Ijumaa, kazi zimeisha. Mtu anaondoka unakasirika. Hakuna kazi ya kiofisi pale walikuwa wanafanya.
 
Umeelewa context ya mleta mada. Kwani ofisi yake ndio inaandika report ya mwanafunzi wa field na kuituma chuo?
Wewe ni mjinga kiasi hiki mkuu?
Ujue nilikua nikisoma mabandiko yako ya kuchambua military stuffs nikawa nakuchukulia mtu flan thoughtfull sana kumbe ni kiazi namna hii??? 😂😂😂😂😂😂😂.
Yan braza wewe ni boga boga tena bogus haswa. Thinking yako iko illogical below the average line.

🤣🤣🤣
Ulisoma wapi mzee? Na lini kwanza ulisoma ndugu ??.

Pole sana.

Anyways, ku cut story short ni hiv,
OFISI NDIO INATAKIWA KUJAZA REPORT NA KUANDIKA TATHMIN ILI IRUDI CHUO.

Sijui ulisoma lini wewe kama ulifika chuo na sijui chuo gani ulisoma ..Na mbali ya yote, taratibu zina change na utaratibu wa chuo hiki kilichopo hapa hapa town , ofisi ina responsibility ya kujaza report tena kwa tathimin ya kina mnoo sio tu ku sign kipumbavu kama elimu uliyopitia wewe kwenye vyuo vyenu mlikopita kuokoteza videgree uchwara.
 
Hii imenikumbusha zamani kidogo , nikiwa Muhimbili tulionekana ni wale vichwa kwa kuwepo pale na hakika tulibehave haswa .

Kichekesho mwaka jana kuna kijana mmoja wa kiume kaja nilipokufanya field aisee kijana , yeye kazini aingia saa tatu , huku kavaa tumiwani twake twa buku mbili .

Pc ya dell na modo yake , sasa mwambie basi msikilize hata mtu mmoja anachokuja kukuambia utacheka mpaka ulie

Mara akiingia labour room , utafsikia anawasimulia wenzie kwenye simu yaani leo nimemzalisha mmama ana tako kubwa ila hajanyoa mavu.......z

Nikawa najiuliza haya ni nini ? Ila nikaja kujua huu ujinga unaanzia kwenye hizi division one zinazogawiwa kwa watoto kama njugu , yaani litoto hata kupika wali halijui ila eti darasani ni likipanga , ukilionesha demu litongoze kazi kulamba lamba midomo tu .

Aisee generation Z wazazi kazi mnayo , mitoto imeharibika
 
Wewe ni mjinga kiasi hiki mkuu?
Ujue nilikua nikisoma mabandiko yako ya kuchambua military stuffs nikawa nakuchukulia mtu flan thoughtfull sana kumbe ni kiazi namna hii??? .
Yan braza wewe ni boga boga tena bogus haswa. Thinking yako iko illogical below the average line.


Ulisoma wapi mzee? Na lini kwanza ulisoma ndugu ??.

Pole sana.

Anyways, ku cut story short ni hiv,
OFISI NDIO INATAKIWA KUJAZA REPORT NA KUANDIKA TATHMIN ILI IRUDI CHUO.

Sijui ulisoma lini wewe kama ulifika chuo na sijui chuo gani ulisoma ..Na mbali ya yote, taratibu zina change na utaratibu wa chuo hiki kilichopo hapa hapa town , ofisi ina responsibility ya kujaza report tena kwa tathimin ya kina mnoo sio tu ku sign kipumbavu kama elimu uliyopitia wewe kwenye vyuo vyenu mlikopita kuokoteza videgree uchwara.
Aisee Hao watu unaofanya nao Kazi basi Wana moyo ,harafu nawapa pole Sana ...

Hauwezi kueleza Jambo Bila maneno ya jeuri na dharau mkuu ?
 
80s wanaeleweka sana,90s kama wanakuja wanakataa then kuna hii polimilay ya 20s ase hawavijana vichwa vyao ni kama vinachochewa moto wa mafuta ya taa
Kabisa aisee wapo resi sana yaani sanaaa
Wanafanya mambo makubwa ambayo unajiuliza Mara mbili mbili
 
Aisee Hao watu unaofanya nao Kazi basi Wana moyo ,harafu nawapa pole Sana ...

Hauwezi kueleza Jambo Bila maneno ya jeuri na dharau mkuu ?
Wala hata usijipe kaz ya kuwapa pole mkuu They are so relaxing and so good hearted person.

Ila unapo deal na wajuaji wa hapa jukwaan unatakiwa kuwa muwazi sawa sawa na wanavyo stahili. Mjinga mjibu sawa sawa na ujinga wake..

Usiwaingize watu naofanya kaz hapa.
 
Hii imenikumbusha zamani kidogo , nikiwa Muhimbili tulionekana ni wale vichwa kwa kuwepo pale na hakika tulibehave haswa .

Kichekesho mwaka jana kuna kijana mmoja wa kiume kaja nilipokufanya field aisee kijana , yeye kazini aingia saa tatu , huku kavaa tumiwani twake twa buku mbili .

Pc ya dell na modo yake , sasa mwambie basi msikilize hata mtu mmoja anachokuja kukuambia utacheka mpaka ulie

Mara akiingia labour room , utafsikia anawasimulia wenzie kwenye simu yaani leo nimemzalisha mmama ana tako kubwa ila hajanyoa mavu.......z

Nikawa najiuliza haya ni nini ? Ila nikaja kujua huu ujinga unaanzia kwenye hizi division one zinazogawiwa kwa watoto kama njugu , yaani litoto hata kupika wali halijui ila eti darasani ni likipanga , ukilionesha demu litongoze kazi kulamba lamba midomo tu .

Aisee generation Z wazazi kazi mnayo , mitoto imeharibika
Ujue Pain killer just kubali, vijana kwasasa mna misbehave mnoooo.vijana hawajui kuweka mipaka ya personal n proffesional life..Hawajui namna ya ku sucrifice personal interests for the sake of future benefits..
 
Hii imenikumbusha zamani kidogo , nikiwa Muhimbili tulionekana ni wale vichwa kwa kuwepo pale na hakika tulibehave haswa .

Kichekesho mwaka jana kuna kijana mmoja wa kiume kaja nilipokufanya field aisee kijana , yeye kazini aingia saa tatu , huku kavaa tumiwani twake twa buku mbili .

Pc ya dell na modo yake , sasa mwambie basi msikilize hata mtu mmoja anachokuja kukuambia utacheka mpaka ulie

Mara akiingia labour room , utafsikia anawasimulia wenzie kwenye simu yaani leo nimemzalisha mmama ana tako kubwa ila hajanyoa mavu.......z

Nikawa najiuliza haya ni nini ? Ila nikaja kujua huu ujinga unaanzia kwenye hizi division one zinazogawiwa kwa watoto kama njugu , yaani litoto hata kupika wali halijui ila eti darasani ni likipanga , ukilionesha demu litongoze kazi kulamba lamba midomo tu .

Aisee generation Z wazazi kazi mnayo , mitoto imeharibika
Inasikitisha sana kizazi cha hovyo
 
Vijana wa kiume wana changamoto za kihisia/saikolojia zinazowafanya wawe jinsi walivyo. Changamoto hizo zinaenda moja kwa moja mpaka kuathiri mtindo wao wa maisha na ufanyaji maamuzi.

Hivyo ukiwa unakuza mtoto wa kiume, au kijana wa kiume jitahidi kuwa keen naye sana na kuwa patient nae, na kikubwa msisitize katika kumjengea uwezo wa problem solving techniques ila akuwe akiwa mtu wa maamuzi sahihi, bila hivi tutawapoteza wengi.

Vijana wa kiume huchelewa sana kujitafuta na kujipata, kuliko wa kike. Kinachowasaidia wanaume kuongoza kimafanikio kuliko wanawake ni fact kwamba wanaume kwa asili ni risk takers, na uwezo wa wao kunyumbulika katika ufanyaji kazi, kazi ya aina yeyote kijana wa kiume akiamua anafanya, tofauti na vijana wa kike. Ndipo hapa ambapo wanaume wametupiga bao wanawake.

Wito, tuwavumilie na kuwafanyia mentorship huko makazini huku tukielewa changamoto zao. Ukifanya hivi haimaanishi atabadilika bali we fanya part yako mengine atapambana nayo kwa mazingira tofauti.
 
Kama vijana wanazingua mnaweza kuajiri wazee maana naona mnaongea mambo ambayo hayana uhalisia
 
Back
Top Bottom