Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Ndio hapo sasa ushangae. Na huyu mtu kumbuka unampa allowance licha ya kuwa yuko field 😂😂.
Yan madogo KUSOMA HAWAJUI MPAKA PICHA NAYO HAWAONI
Hatuna madogo mkuu 😅

Kwenye ule uzi madogo niliwachana nikawaambia msipobadilika kila siku mtatulaumu sana mabroo

Hakuna mtu anayetaka kufanya kazi na mtu wa aina ya dogo uliyemzungumzia mwenye uzi

Kwanza kile kitendo cha kuchat wakati wa kikao na kunyanyuka kudharau kikao na kusema yale maneno kasha-disqualify kitambo sana
 
Kuwa boss pia inapaswa kutambua na kujali muda wa mtu kwenye mambo yake binafsi

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hiv yeye na mimi nani ana mambo mengi.
Kuacha kaz zangu kuanza kujadili za kwake zisizohusiana na ofisi yangu bali kwa manufaa yake hiyo ni kitu ya kufundishwa il ujue nani yuko kwenye advantage side hapo?..
 
Sikubaliani na wewe
Utampa mtu kazi

Labda hizo ajira unazitoa sio proffesional, yani zinaweza kufanywa na mtu yeyote.

Chukulia mfano unamuajiri accountant bila kujua qualifications zake na expirience.
Unaanza kupima performance yake baada ya kumpa ajira??

Sasa kama hayuko qualified utamfukuza?
HUwez ajir mtu bila kujua background yake. Na hii sio lazima usome tu cv, vetting conversation tu inatosha kuyajua haya.

Halaf kuna kitu kimoja hapa fahamu, kwa mtu mwenye uzoefu katika shughul flan huwa automatic tu kujua mtu sahihi au lah kwa mazunguzo ya ana kwa ana unapomu interview.Hata uongo wa kwenye CV huna haja ya kujihangaisha nao.CV zimejaa mapishi mengi mkuu.am talking from experience.

Lastly kuna kitu kinaitwa probation, hapa ndio kila kitu kinakuwa waz.
 
Kusema tuu ofisini kwangu sio kigezo cha mtu kujua umejiajiri au umeajiriwa.
Nb.
Nakubali ajira sio kitu kibaya.
Okay..iko hivyo basi. Sikutaka kuli bold hil kwakua sio lengo la uzi. Maana licha ya kujiajir bado mimi pia ni muajiriwa wa wateja wangu, imagine Discipline ya dogo mbele ya mkuu wake kazin iko hiv, haya huko kwa wateja what can you expect?
 
Sio kila mtu alizaliwa kwenye shida kwamba usipomsaidia atafeli maisha. Kuna boss mmoja nilienda field, akaja binti mwingine kufanya field akapangiwa kazi ambayo hapendi na hajasomea ila anaweza ifanya. Akaomba abadilishiwe kitengo na yule boss akachukia eti binti kadharau field wakati kuna watu wanaitaka.

Kumbe binti kaja kufanya kazi fulani kupata uzoefu sababu baba yake anafanya kazi kama ile. Alipoona atapotezewa muda akaenda kufanya field ofisi ya baba yake. Kuwa boss sio lazima usikilizwe kila muda na ujifanye mungu mtu na kupenda machawa. Likewise anaweza kuja kijana ukamletea umungu mtu akaondoka kufanya mambo yake na akakuzidi ukabaki na sonona.

Huu uzi una watumwa kwelikweli. Eti boss akikuongelesha hutakiwi kuondoka, na akikutongoza hutakiwi kukataa si ndio?
Broo mleta mada nimemuuliza swali uko juu. Saa 11 jioni ya jumamosi ni muda wa kazi? kama sio hauoni kwamba ni yeye ndie alikosea kupanga muda wa kujadili masuala ya kiofisi. Naona dizaini kama amepaniki. Mabroo wanapenda kuonekana mungumtu.
 
Hajakomaa akili

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Exactly. So hayo tuliokuwa tunajadili sio sehem ya kazi na hayakupaswa ku compromise time table. Halaf kitu kingine vijana you really have to learn to GO EXTRA MILE when you are assigned..
Sio et kisa kutoka ofisin ni saa 11 bas na wewe kwel 11 shap ushachomoka 😂😂😂.
Jifunzen japo hata kuzuga zuga muda mwingine...
Ofisn saa 2 ila kila ukiingia kabla ya saa 2 unakuta boss kafika kitamboo...then unapondoka daily unamwacha ofisn.. HIV huwa mnashindwa hata kujifikiria kidogo 😂😂😂.


Sie wenzenu tulifunzwa manners hiz ndogo ndogo na zimetusaidia sanaa.
 
Broo mleta mada nimemuuliza swali uko juu. Saa 11 jioni ya jumamosi ni muda wa kazi? kama sio hauoni kwamba ni yeye ndie alikosea kupanga muda wa kujadili masuala ya kiofisi. Naona dizaini kama amepaniki. Mabroo wanapenda kuonekana mungumtu.
HIv siku ile ya mechi ilikua weekend kwa akili zako?? It was a week day!. Do simple search

NB.
Jifunze kuwa mpana knowledgewise ili mambo madogo madogo kama haya japo yaku sitiri.
 
Exactly. So hayo tuliokuwa tunajadili sio sehem ya kazi na hayakupaswa ku compromise time table. Halaf kitu kingine vijana you really have to learn to GO EXTRA MILE when you are assigned..
Sio et kisa kutoka ofisin ni saa 11 bas na wewe kwel 11 shap ushachomoka .
Jifunzen japo hata kuzuga zuga muda mwingine...
Ofisn saa 2 ila kila ukiingia kabla ya saa 2 unakuta boss kafika kitamboo...then unapondoka daily unamwacha ofisn.. HIV huwa mnashindwa hata kujifikiria kidogo .


Sie wenzenu tulifunzwa manners hiz ndogo ndogo na zimetusaidia sanaa.
Mambo kama hayo huwezi yapata shule labda uwe umezungukwa na watu wenye uzoefu na weledi wa kazi inakuwa rahisi kujiongeza.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Unamlalamikia kwa sababu hajataka kufanya biashara na wewe?
Hakuna sehemu niliyolalamika. Unaweza kulalamika kwa mtu kukataa kuchukua mzigo kwa mali kauli? Kwa kifupi dogo ninamfahamu yeye hadi familia yake kwahiyo ilikuwa ni kama vile kaka kumsaidia mdogo wake na sio kwamba nilihitaji sana kufanya nae biashara. Nimetoa hicho kisa changu kuonyesha madogo hawajielewi
 
Vijana waelewe tu hata bibi na yeye alikuwa kama dada.. ukija kushtuka miaka 40 hii hapa unaanza kujifariji na msemo "Life starts at 40"... miaka ya mwanzoni ni muhimu sana kuwa mnyenyekevu ili ujifunze. Ukifanya vizuri in your 20s basi kwenye 30s utakuwa unaombwa ukafanye kazi na sio wewe kuomba kazi. Ukiwa kwenye 20s fanya kazi zote na uwe na utiifu wa kiwango cha juu. Hawa wazee bado ndo wenye maamuzi ya mwisho kwenye mambo mengi hapa nchini tusiwachukulie poa.
 
Sipendi kunyenyekea mtu, utumwa na unafiki ukiniletea dharau utakuwa unatafuta makofi.

Kuajiriwa ni utumwa na unafiki vyote kwa pamoja maisha ya hivi kwangu yapo pembeni.

Msiwasakame sana vijana wa kileo jambo zuri ni kwamba hawataki unafiki na utumwa wenu kwenye maofisi yenu mnazingua sana nyie wazee wenye akili za kunyenyekewa hata kwenye upuuzi.

Ndio maana taifa haliendelei kwa sababu hamtaki akili mpya ije zaidi ya kupenda kunyenyekewa kijinga.
 
Vijana waelewe tu hata bibi na yeye alikuwa kama dada.. ukija kushtuka miaka 40 hii hapa unaanza kujifariji na msemo "Life starts at 40"... miaka ya mwanzoni ni muhimu sana kuwa mnyenyekevu ili ujifunze. Ukifanya vizuri in your 20s basi kwenye 30s utakuwa unaombwa ukafanye kazi na sio wewe kuomba kazi. Ukiwa kwenye 20s fanya kazi zote na uwe na utiifu wa kiwango cha juu. Hawa wazee bado ndo wenye maamuzi ya mwisho kwenye mambo mengi hapa nchini tusiwachukulie poa.
Hawat kuambiwa ukwel na kuukubali huu uhalisia
 
Back
Top Bottom