Bloodstone
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 922
- 996
Endelea kusubir ww mtoa Mada magufuli aje kujenga choose...Ukiona anakawia anza kujitolea ata mfuko mmoja wa saruji..poor you
Akiongea kwa mbwembwe na Wazee wa Dar, rais JPM aliagiza ofisi za taasisi ya afya ya mama na mtoto zibadilishwe matumizi na kuwa wadi za akina mama walioielemea MNH mpaka kulala chini. Cha kusikitisha ni kuwa hakuna huduma nzuri ya vyoo; kwanza havitoshi (mafundi ndiyo wanajenga), havina hadhi ya kutumiwa na akina mama. Wanatumia vyoo vya nje vilivyo mbali na wadi hiyo mpya! Wamejazana kiasi ya wengine kushindwa kuvumilia na kuachia haja (ndogo) pasipo na choo.
Jamani, kuna magonjwa ya mlipuko. Fanyeni hima.
chanzo: EATV
Kipindupindu kikileta fyokofyoko kitaona.Mkuu kipindupindu hicho kinarejea tena kutokea Muhimbili.
Ndio madhara ya mbwembwe hayo. Hivi dunia ya leo ukiona mtu anahamia kwa matambo nyumba yake mpya lakini kumbe haina vyoo anashusha kwenye mifuko ya rambo utamweka kundi gani?
Si arudi kulala chini kwenye vyoo vya karibu....wakina mama wanalalamika. tena mmoja kasisistiza, 'maamuzi yawe yanafanyika kwa umakini'
Akirudi nyumbani watoto wanamkimbilia kabla hajafika mlangoni, na wanampokea begi lake pamoja na mifuko mingine, tehe tehe.Dah vichwa vingine Mungu atusaidie.Halafu utasikia mtu ana mke na watoto
Kuongozi watu ambao walishazoea mfumo wa majizi ni kazi kubwa sanaPole Magufuli kwa kazi ngumu ya kuwahudumia watz waliokwisha zoea rushwa ndo wafanye kazi.
Mijipu inajipendekeza kupitia njia mbali mbali ila jamii inaitolea nje. Kila maamuzi ya haraka lazima yawe na changamoto vyoo ni issue ndogo inayosolvika kulinganisha na mama mjamzito kulala chini
Mbon heleweki heading unasema hakuna vyoo, ndani vyoo sio vizuri mara unasema mafundi ndio wanajenga, mbona hatukuelewi ndio maana tunasema bavicha upeo wenu mdogoAkiongea kwa mbwembwe na Wazee wa Dar, rais JPM aliagiza ofisi za taasisi ya afya ya mama na mtoto zibadilishwe matumizi na kuwa wadi za akina mama walioielemea MNH mpaka kulala chini. Cha kusikitisha ni kuwa hakuna huduma nzuri ya vyoo; kwanza havitoshi (mafundi ndiyo wanajenga), havina hadhi ya kutumiwa na akina mama. Wanatumia vyoo vya nje vilivyo mbali na wadi hiyo mpya! Wamejazana kiasi ya wengine kushindwa kuvumilia na kuachia haja (ndogo) pasipo na choo.
Jamani, kuna magonjwa ya mlipuko. Fanyeni hima.
chanzo: EATV
Kwa kweli.Raisi wa nchi ana kazi kubwa sana, hasa kubadilisha negativity walizonazo wananchi wengi.
Akiongea kwa mbwembwe na Wazee wa Dar, rais JPM aliagiza ofisi za taasisi ya afya ya mama na mtoto zibadilishwe matumizi na kuwa wadi za akina mama walioielemea MNH mpaka kulala chini. Cha kusikitisha ni kuwa hakuna huduma nzuri ya vyoo; kwanza havitoshi (mafundi ndiyo wanajenga), havina hadhi ya kutumiwa na akina mama. Wanatumia vyoo vya nje vilivyo mbali na wadi hiyo mpya! Wamejazana kiasi ya wengine kushindwa kuvumilia na kuachia haja (ndogo) pasipo na choo.
Jamani, kuna magonjwa ya mlipuko. Fanyeni hima.
chanzo: EATV
Niko hapa MNH naangalia pilika zinavyoendelea. Hakuna nurses wa kutosha kuwa Na ward nyingine ghafla. Hawa kina mama wanaweza kupata tatizo wakiwa wenyewe
Wao walikua anajisaidia wapi?Akiongea kwa mbwembwe na Wazee wa Dar, rais JPM aliagiza ofisi za taasisi ya afya ya mama na mtoto zibadilishwe matumizi na kuwa wadi za akina mama walioielemea MNH mpaka kulala chini. Cha kusikitisha ni kuwa hakuna huduma nzuri ya vyoo; kwanza havitoshi (mafundi ndiyo wanajenga), havina hadhi ya kutumiwa na akina mama. Wanatumia vyoo vya nje vilivyo mbali na wadi hiyo mpya! Wamejazana kiasi ya wengine kushindwa kuvumilia na kuachia haja (ndogo) pasipo na choo.
Jamani, kuna magonjwa ya mlipuko. Fanyeni hima.
chanzo: EATV
CCM nao sijui wanatumia kiungo gani ktk kufikiri!Umesema hazina vyoo na mafundi ndio wanajenga, sasa hapo tatizo liko wapi so watajenga vitaisha na kinamama wataanza kutuma...kumbuka zilikuwa ofisi na sasa zimekuwa wodi huoni lazma kuna mabadiliko yafanyake ili ofisi hizo zifanye kazi mpya, au ulitaka Magu awe kama Mungu aseme na sasa ofisi ziwe wodi na ghafla kila kitu kiwe sawa..