Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 5,525
- 11,319
Tukio kubwa la ufunguzi la soka la kihistoria African football League ambalo ufunguzi wake utafanyika uwanja wa Mkapa Tanzania Oktoba 20, 2023.
Tukio hilo kubwa la michuano mikubwa kuliko yote Africa ambalo litakua na ugeni mzito wa Rais wa FIFA, Rais wa CAF pamoja na marais wa vyama vingine vya soka kutoka nchi mbalimbali.
Wadau mbalimbali wa soka wameshauri machafuko yanayoendelea maeneo mbalimbali Duniani, kuanzia Congo, Ukraine pamoja na Hamas na Israel wasitishe vita ili kutoa nafasi ya kufatilia ufunguzi wa michuano hii mikubwa ambapo timu kubwa Tanzania Simba sports club itamenyana na Club ya Al ahly kutoka nchini Misri.
Mungu endelea kuiweka Simba kwenye mkono wako wa kulia, aamin!
Tukio hilo kubwa la michuano mikubwa kuliko yote Africa ambalo litakua na ugeni mzito wa Rais wa FIFA, Rais wa CAF pamoja na marais wa vyama vingine vya soka kutoka nchi mbalimbali.
Wadau mbalimbali wa soka wameshauri machafuko yanayoendelea maeneo mbalimbali Duniani, kuanzia Congo, Ukraine pamoja na Hamas na Israel wasitishe vita ili kutoa nafasi ya kufatilia ufunguzi wa michuano hii mikubwa ambapo timu kubwa Tanzania Simba sports club itamenyana na Club ya Al ahly kutoka nchini Misri.
Mungu endelea kuiweka Simba kwenye mkono wako wa kulia, aamin!