Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,742
- 7,697
Takribani Wachezaji wa 4 wa Al Ahly kuikosa mechi ya mnyama mkali kwa mkapa,
Wachezaji hao ni
Al shahat
Ashour
Dieng
Yesser Ibrahim
Unaambiwa Bench la Ufundi la Ahly limechanganyikiwa, wanasema kuikabili simba kwa mkapa hasa ukiwa hauna key player ni ngumu sana,hasa wakivikumbuka vipigo vya hivi karibuni vya Horoya na Jwaneng.
Wachezaji hao ni
Al shahat
Ashour
Dieng
Yesser Ibrahim
Unaambiwa Bench la Ufundi la Ahly limechanganyikiwa, wanasema kuikabili simba kwa mkapa hasa ukiwa hauna key player ni ngumu sana,hasa wakivikumbuka vipigo vya hivi karibuni vya Horoya na Jwaneng.