Wadau wa IFM second round tukutane hapa

Wadau wa IFM second round tukutane hapa

future mind

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
221
Reaction score
230
Kama nilivyoeleza apo juu.... mimi ni mmoja kati ya tuliochaguliwa second round ya multiple selection na kucomfirm IFM lakini mpaka leo sijapata admission namba na Leo nimeona new news mtandandaoni ikielekeza registration.... sasa inakuwaje registration kati ata admission namba cjapata wadau...????
 
Kama nilivyoeleza apo juu.... mimi ni mmoja kati ya tuliochaguliwa second round ya multiple selection na kucomfirm IFM lakini mpaka leo sijapata admission namba na Leo nimeona new news mtandandaoni ikielekeza registration.... sasa inakuwaje registration kati ata admission namba cjapata wadau...????
Jamani na swali Hivi IFM Kwa Level ya Degree Wana darasa la Jioni.!??? I mean kuanzia saa Kumi na Moja
 
Mh ila ifm sio pakitoto pale i mean kama hujawah kuishi sehem yenye majarib inabd uende ukiwa na umakini wa hali ya juu sana. Coz kile chuo mara nyingi mwaka wa kwanza wanadisco sio kwasabab ni vilaza bali ni ile mikito ya kubadili life style kwa ghafla yani umetoka huko uyole mara paaaaaaap upo zero distance na BOT
 
Mh ila ifm sio pakitoto pale i mean kama hujawah kuishi sehem yenye majarib inabd uende ukiwa na umakini wa hali ya juu sana. Coz kile chuo mara nyingi mwaka wa kwanza wanadisco sio kwasabab ni vilaza bali ni ile mikito ya kubadili life style kwa ghafla yani umetoka huko uyole mara paaaaaaap upo zero distance na BOT
True
 
Back
Top Bottom