bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Salama kabisa mpwa aisee umeishajisajili na TIGO PESA
mpwa hapo mimi ni mwanachama hai kabisa!!!!!!!!!!
Salama kabisa mpwa aisee umeishajisajili na TIGO PESA
Alikuwa demu wangu tangu msingi na kwa bahati nzuri tukachaguliwa shule ya serikali pamoja kwenda kidato kimoja. Nimesoma nae darasa moja kwanzia form 1 mpaka 4 na wakati ule tupo shule sikuwahi kum***** wakati tupo form 3 niliachana nae maana nilikuwa nasikia tetesi kunawatu wanakamua ila mie nikiomba mzigo ananiambia mpaka tukioana. Tumemaliza shule yapata miaka kumi na ushee sasa na tumekuwa na mawasiliano. Kama wiki mbili zilizopita dada yake aliingia kwenye kumi na nane zangu sikumwachia na alidiriki kunisifia kuwa mimi naweza. Ni juzi jumamosi alinitumia msg akisema anahamu nimfanyie massage na mie nikamwambia poa haina kwere. Nilipomuuliza angependa nimfanyie lini alisema leo leo lakini yupo kwenye pm na kupendekeza bora tufanye siku ya birthday yake ili iwe zawadi kwake. Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.
nitaomba nitumie Account yako kdg mpaka hapo nitakaposajili yangu.mpwa hapo mimi ni mwanachama hai kabisa!!!!!!!!!!
Kwa hiyo unatuuliza kama utamtendea haki kumparamia kimasaji-masaji.Alikuwa demu wangu tangu msingi na kwa bahati nzuri tukachaguliwa shule ya serikali pamoja kwenda kidato kimoja. Nimesoma nae darasa moja kwanzia form 1 mpaka 4 na wakati ule tupo shule sikuwahi kum***** wakati tupo form 3 niliachana nae maana nilikuwa nasikia tetesi kunawatu wanakamua ila mie nikiomba mzigo ananiambia mpaka tukioana. Tumemaliza shule yapata miaka kumi na ushee sasa na tumekuwa na mawasiliano. Kama wiki mbili zilizopita dada yake aliingia kwenye kumi na nane zangu sikumwachia na alidiriki kunisifia kuwa mimi naweza. Ni juzi jumamosi alinitumia msg akisema anahamu nimfanyie massage na mie nikamwambia poa haina kwere. Nilipomuuliza angependa nimfanyie lini alisema leo leo lakini yupo kwenye pm na kupendekeza bora tufanye siku ya birthday yake ili iwe zawadi kwake. Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.
nitaomba nitumie Account yako kdg mpaka hapo nitakaposajili yangu.
Ndugu yangu Sokomoko, kama ni kweli huna tena mapenzi naye, jiexcuse kistaarabu bila kum hurt her feelings lakini make it clear that it doesn't work between the two of you ili ajue ukweli. Kama baada ya kumweleza ukweli wako lakini bado akaitaka huduma yako, maana yake wewe ni bingwa wake, hivyo toa tuu huduma yoyote kwa raha zake.Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.
uamuzi wangu ni kutomtafuna na ili nifanikiwe hilo nimejipanga vilivyo usikhofu na amini huwa na enjoy na mtu ninaemfeel.sasa kama humpendi umtafune ya nini?
Mtu mwingine atakwambia mtafune mwingine atasema usimtafune.
Ila uamuzi wako utategemea na tabia zako?
Sokomoko,
Inaonekana dhamira yako haikubaliani na tamaa inayowaka mwilini mwako. Hali kama hiyo mara nyingi hupelekea majuto makubwa sana hasa vitu vikienda vibaya kama vile ukipata gonjwa la zinaa. Ni vema ukafanya kitu kwa dhamira na si tamaa ya muda mfupi. Ushauri wangu ni kuwa ni bora usimtafune huyo dada maana faida za kufanya hivyo ni chache kuliko hasara hasa ukizingatia huna mapenzi nae tena. Alternatively, kaa chini tafakari na usikiliza nafsi yako inakwambia nini nauhakika itakukataza tu!
sokomoko kidogo umefanana na jina hili unalotumia hapa hebu tuweke wazi wengi hatujaelewa uliemfumua ni dada wa yule alietusumbua muda ule na sasa unataka kumfumua yule msumbufu baada ya kukuomba umkande?