Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Alikuwa demu wangu tangu msingi na kwa bahati nzuri tukachaguliwa shule ya serikali pamoja kwenda kidato kimoja. Nimesoma nae darasa moja kwanzia form 1 mpaka 4 na wakati ule tupo shule sikuwahi kum***** wakati tupo form 3 niliachana nae maana nilikuwa nasikia tetesi kunawatu wanakamua ila mie nikiomba mzigo ananiambia mpaka tukioana. Tumemaliza shule yapata miaka kumi na ushee sasa na tumekuwa na mawasiliano. Kama wiki mbili zilizopita dada yake aliingia kwenye kumi na nane zangu sikumwachia na alidiriki kunisifia kuwa mimi naweza. Ni juzi jumamosi alinitumia msg akisema anahamu nimfanyie massage na mie nikamwambia poa haina kwere. Nilipomuuliza angependa nimfanyie lini alisema leo leo lakini yupo kwenye pm na kupendekeza bora tufanye siku ya birthday yake ili iwe zawadi kwake. Mimi sina tena mapenzi ya kweli na huyu dada, na ndugu yake shetani tu alikuwa amenikaa sasa wadau mnanishauri nini maana basdei ya huyu shori bado kama siku sita tu.