Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu π‘
Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu
Kilimo cha mihogo hakihitaji mda mwingi uwepo shamba unaweza fanya kama una mtaji acha na hz habari za eti kwa vile unajenga hakuna kula nyama nyumbani world has changed unao huo uwezi na upo ndani yako weka 100% commitment hutafeli have a new experiance
Haya maisha ukikomaa na kitabu peke ake utaishia kupata hela ya kula na unaweza ukakosa kabisa hela yenyewe ya kula
Also ukisubiri umalize kitabu kwanza utajikuta unamalza na age imekutupa mkono
Kilimo cha mihogo hakihitaji mda mwingi uwepo shamba unaweza fanya kama una mtaji acha na hz habari za eti kwa vile unajenga hakuna kula nyama nyumbani world has changed unao huo uwezi na upo ndani yako weka 100% commitment hutafeli have a new experiance
Nipo chuo nasoma Diploma in Clinical Medicine lakini nafikiria kuanza kilimo cha mihogo maeneo ya kisarawe naombeni ushauri, maoni mtazamo hata kama kuna idea tofauti msaada wenu π‘