talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,101
- 2,051
Habari zenu,
kuna mschana mmoja ambaye ni mwanachuo mwenzangu wote tukiwa katika kozi moja. sio siri nimetokea kumpenda sana huyu mschana kutokana na sifa nyingi na vigezo ambavyo anavyo. ila tatizo huyu dada anaji sikia sana na ukizingatia hata sina mazoea nae masikini,na pia nahisi kama by nature hanipendi kwani inapotokea naongea juu ya jambo fulani iwe kwenye discussion au class huwa hafurahii hata kidogo. but wenzangu wanapozungumza hata kama si jambo la msingi basi hufurahia.
Na jengine hata salamu yake kuipata ni shida yaani anamaringo ile mbaya. Jamani hebu naomba mnipe mawazo ya kijasiri jinsi ya kumuingia huyu mtoto ili nitmize ndoto zangu za kutaka kuwa nae, maana the way she behaves nakosa hata ujasiri wa kumtamkia chochote hata kama kinahusiana na academic matters.
Mchango wenu ni muhimu,natanguliza shukrani.
kuna mschana mmoja ambaye ni mwanachuo mwenzangu wote tukiwa katika kozi moja. sio siri nimetokea kumpenda sana huyu mschana kutokana na sifa nyingi na vigezo ambavyo anavyo. ila tatizo huyu dada anaji sikia sana na ukizingatia hata sina mazoea nae masikini,na pia nahisi kama by nature hanipendi kwani inapotokea naongea juu ya jambo fulani iwe kwenye discussion au class huwa hafurahii hata kidogo. but wenzangu wanapozungumza hata kama si jambo la msingi basi hufurahia.
Na jengine hata salamu yake kuipata ni shida yaani anamaringo ile mbaya. Jamani hebu naomba mnipe mawazo ya kijasiri jinsi ya kumuingia huyu mtoto ili nitmize ndoto zangu za kutaka kuwa nae, maana the way she behaves nakosa hata ujasiri wa kumtamkia chochote hata kama kinahusiana na academic matters.
Mchango wenu ni muhimu,natanguliza shukrani.