mtalimaK
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 246
- 234
Fact mimi napenda sana 30+Utoto tu unamuwasha huyu.
30,
Nayo ni ya kukufanya uwaze
Fact mimi napenda sana 30+Utoto tu unamuwasha huyu.
30,
Nayo ni ya kukufanya uwaze
Ndio sababu Dogo janja kaamua kujitwisha bibie UwoyaWadada in 30+ wanajua kupenda jaman mpaka raha mi ndomana sichezi nao mbali hata kidogo
This is not fair....waacheni kama ny8byi hawawafaiUkipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.
Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mimi ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.
Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, dada atakusihi "mpaka basi".
Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbio.
Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.
Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?
My take: Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyo inakuja akutake nani!
DuhUkipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.
Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mimi ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.
Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, dada atakusihi "mpaka basi".
Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbio.
Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.
Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?
My take: Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyo inakuja akutake nani!
Mkuu they are so sweet because they have used enough? Or?Aisee mim sio mwenzake, Me I do like most ladies in 30s, they are really sweet.
Mtu Mzima Ukiwa Nae Nzur Sana Kwanza Anakuwa ametulia Na Kujieshim Mawazo Yake Mengi Ni maendeleo Sio Utumiaji Wa Pesa Ovyo Ovyo Pasipo Kuwa Na SababuTangia nilipojua tofauti ya wasichana wadogo na hao unaowaita 30+,
Siwezi na sitakuja kuoa Mtoto mdogo.
Nitaoa Mkubwa au single mama.
Vibinti vidogo hivi vinasumbua mno kuliko ufikiriavyo.
Badili mtazamo wako mtoa mada
Kweli kabisaMtu Mzima Ukiwa Nae Nzur Sana Kwanza Anakuwa ametulia Na Kujieshim Mawazo Yake Mengi Ni maendeleo Sio Utumiaji Wa Pesa Ovyo Ovyo Pasipo Kuwa Na Sababu
Ivi Vitoto Ni Vikolofi Sana Aithee Visumbufu Balaaa Mbaya Zaid Vinaishi Maisha Ya Kideo
Kwa hiyo mkuu Sexless kwa point yako ni kwamba hata ukioa mwenye 18+ akifika 30 tu unampiga chini kwa sababu anatoa unga right????? unachukua mwenye kutoa ute sio???? na shida yako kubwa ni ute right????Umeshindwa kuendelea ukiwa peke yako unataka kutoka kupitia mwanamke?
Siyo kwamba akili zimekuwa za kiutu uzima. K imeanza Luganda na kutoa unga badala va ute wa kulainisha njia
wa peke yako unataka kutoka kupita mwanamke?
swali gani unaulizaWameshatoa mimba nyingine sana??? Wewe umeshirikiana nao kutoa ngapi??
we ni malaika wa kiume sawa mkuuUnaona sifa mwenyewe kuongea upumbavu kama huo! Unafikiri wadada wote wenye umri kuanzia miaka 30 ndo wana dhiki ya kuolewa? Tena afadhali na hao maana ukioa wanatulia kweli kuliko videmu vinavyoanza kuvunja ungo, maana wengi wao mapepe tu bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima, wengi wao siyo tegemezi na wanajua kusaka ela. Na wakipenda wanapenda kweli, sasa ww hangaika na umri wa chini kila cku kuombwa vocha mara ela ya Saloon mara nguo ya sikukuu mpaka ela ya chupi
. Wakati wenzao wanawaza maisha. Kiukweli sitaki Msichana asiyezidi miaka 30. Ndiyo ujiulize sasa kwanini msanii mkubwa mwenye Pesa zake kama daimond anamng'ang'ania '' 'zarithebosslady 'na kuishia kuchezea kina 'Hamisamobetto' binafsi nataka mwanamke wa maendeleo. Umri namba angalia maendeleo kijana.![]()
Shishi bebi ni binti mdogo?Vibinti vidogo hivi vinasumbua mno kuliko ufikiriavyo.
Hivi Uwoya anaweza kuzaa kweli?Hivi uwoya anamiaka mingapi na dogo janja anamiaka mingapi?
Kama ndo hivyo kinachokufanya uhangaike na hao 30's ni nini??Oa MTU utakayemtumia kwa muda kabla ya kukaukiwa ute. Ndipo uanze kuvumilia shida, siyo uanze na shida