Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Ukipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.

Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mimi ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.

Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, dada atakusihi "mpaka basi".

Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbio.

Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.

Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?

My take: Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyo inakuja akutake nani!
This is not fair....waacheni kama ny8byi hawawafai
 
Ukipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.

Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mimi ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.

Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, dada atakusihi "mpaka basi".

Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbio.

Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.

Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?

My take: Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyo inakuja akutake nani!
Duh
 
Aaah hahaha. Kuna ukwel flan. But me NDO NAWAPENDA HAO. And soon i will need 1 to marry
 
Jamani ni kweli inaweza ikawa ila si vyema kuwazungumzia hivi kwan sio wote walikuaga wakiringa wengne ndio mipngo ya mungu
 
Tangia nilipojua tofauti ya wasichana wadogo na hao unaowaita 30+,
Siwezi na sitakuja kuoa Mtoto mdogo.
Nitaoa Mkubwa au single mama.
Vibinti vidogo hivi vinasumbua mno kuliko ufikiriavyo.
Badili mtazamo wako mtoa mada
Mtu Mzima Ukiwa Nae Nzur Sana Kwanza Anakuwa ametulia Na Kujieshim Mawazo Yake Mengi Ni maendeleo Sio Utumiaji Wa Pesa Ovyo Ovyo Pasipo Kuwa Na Sababu

Ivi Vitoto Ni Vikolofi Sana Aithee Visumbufu Balaaa Mbaya Zaid Vinaishi Maisha Ya Kideo
 
Mtu Mzima Ukiwa Nae Nzur Sana Kwanza Anakuwa ametulia Na Kujieshim Mawazo Yake Mengi Ni maendeleo Sio Utumiaji Wa Pesa Ovyo Ovyo Pasipo Kuwa Na Sababu

Ivi Vitoto Ni Vikolofi Sana Aithee Visumbufu Balaaa Mbaya Zaid Vinaishi Maisha Ya Kideo
Kweli kabisa
 
Umeshindwa kuendelea ukiwa peke yako unataka kutoka kupitia mwanamke?

Siyo kwamba akili zimekuwa za kiutu uzima. K imeanza Luganda na kutoa unga badala va ute wa kulainisha njia
wa peke yako unataka kutoka kupita mwanamke?
Kwa hiyo mkuu Sexless kwa point yako ni kwamba hata ukioa mwenye 18+ akifika 30 tu unampiga chini kwa sababu anatoa unga right????? unachukua mwenye kutoa ute sio???? na shida yako kubwa ni ute right????
 
Mkuu Sexless naomba utemee mate chini na pia ukumbuke kuwa usitukane mamba kabla hujavuka mto

Kama kweli wewe ni kijana unayeplan kuwa mzazi mzuri mwenye kupenda watoto wako hapo baadae naomba uyatunze haya maneno yako kisha pata binti afikishe miaka 30+ hajaolewa afu uje hapa uyaseme tena utambe kuwa binti yako anatumika huku anayemtumia ana under 20 anayeplan kumwoa anampotezea tu muda binti yako

Mkuu kuna mambo sio ya kujitapa na kuyatamka kwa sauti ilhali uko hai chini ya dunia hii,binafsi nimesikitishwa sana na maneno yako na namna ulivyoufikisha ujumbe wako,jiangalie sana mkuu.
 
Unaona sifa mwenyewe kuongea upumbavu kama huo! Unafikiri wadada wote wenye umri kuanzia miaka 30 ndo wana dhiki ya kuolewa? Tena afadhali na hao maana ukioa wanatulia kweli kuliko videmu vinavyoanza kuvunja ungo, maana wengi wao mapepe tu bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima, wengi wao siyo tegemezi na wanajua kusaka ela. Na wakipenda wanapenda kweli, sasa ww hangaika na umri wa chini kila cku kuombwa vocha mara ela ya Saloon mara nguo ya sikukuu mpaka ela ya chupi
. Wakati wenzao wanawaza maisha. Kiukweli sitaki Msichana asiyezidi miaka 30. Ndiyo ujiulize sasa kwanini msanii mkubwa mwenye Pesa zake kama daimond anamng'ang'ania '' 'zarithebosslady 'na kuishia kuchezea kina 'Hamisamobetto' binafsi nataka mwanamke wa maendeleo. Umri namba angalia maendeleo kijana.
we ni malaika wa kiume sawa mkuu
 
Vibinti vidogo hivi vinasumbua mno kuliko ufikiriavyo.
Shishi bebi ni binti mdogo?
Ufoo Saro ni binti mdogo?
Madam Flora ni binti mdogo?

NB. Usumbufu ni hulka ya MTU. Unaweza ukaoa 30+ akakusumbua na wakati hata kitandani unapata kiporo. Bora usumbuliwe na mtoto lkn kitqndani anakupatia mambo safi.
 
Kwa hiyo mkuu Sexless kwa point yako ni kwamba hata ukioa mwenye 18+ akifika 30 tu unampiga chini kwa sababu anatoa unga right???
Oa MTU utakayemtumia kwa muda kabla ya kukaukiwa ute. Ndipo uanze kuvumilia shida, siyo uanze na shida
 
Oa MTU utakayemtumia kwa muda kabla ya kukaukiwa ute. Ndipo uanze kuvumilia shida, siyo uanze na shida
Kama ndo hivyo kinachokufanya uhangaike na hao 30's ni nini??

Kwa nini uwapotezee muda wao??

Unadhani walipenda kufika hapo bila kuolewa??

Unadhani wewe au kizazi chako au wanawake fulani wanaokuhusu na unaowajali na kuwathamini hayawezi kuyakuta hayo ya kufika 30 na hawajaolewa na kuwa wanachezewa na vijana wachafuzi kama wewe????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom