Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Ukiona niko kwenye shida, niombee...
Ndoa yangu imevunjika, niombee...
Nikikawia kupata mtoto, niombee...
Hata nijapo kuwa mjane,niombee...
Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena,
Ujue kwa maombi yako mimi nitabarikiwa!

USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE
Kwenye mashida haya ndio mnakumbuka kuombewa

Utamu wako wote umekula na shetani, 30+ uombewe!?
 
Ukipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.

Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mm ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.

Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, Dada atakusihi "mpk basi".

Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbioooo. Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.

Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi.. Nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.
Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?

My take. Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyooo inakuja Akutake nani!!!????
Nimerud trh 26 mwez huu ktoka uganda, kpnd npo kile nlifikia mji wa Jinja ktk hotel 1 nzur sana, ktk mizunguko yangu nlikutana n mdada 30+ n yy ni mganda pure kbs demu wa maana nbanajiheshm haswa, nlijiuliza nmuingie vp uyu...

Na kizur zaid nae alikua katoka kampala kaja weekend jinja ila yy alifkia hotel nyngne.... Kuna duka la vinyago tulikua wte n kna kasanam kadogo nlikashika nkawa nakatazama kumbe yy nae alikaona akanifata akaomba akashike nkampa...

Akanshukuru n akainunua, kisha akaniomba twende lunch, tukaenda kweny htl alofkia.. Muda wote uo story nyng tu bt lugha ni English n uzur yy kiswahl anakckia ila kuongea shida...

Nikamuonyesha hali ya kumjali + ukaribu wangu kwake, mdada wa watu akaingia kingi akanipa mzgo... Tokea nmerud tz mwanamke ni anansumbua n anataka aje uku nilipo....

Masaa kam mawili yalopita kapiga cm n kanambia nxt week anataka aje tz...

Asee upo sahh mtoa mada, hawa wadada 30+ hawa ni shida, yn ukigusa tu imo
 
Nimerud trh 26 mwez huu ktoka uganda, kpnd npo kile nlifikia mji wa Jinja ktk hotel 1 nzur sana, ktk mizunguko yangu nlikutana n mdada 30+ n yy ni mganda pure kbs demu wa maana nbanajiheshm haswa, nlijiuliza nmuingie vp uyu...

Na kizur zaid nae alikua katoka kampala kaja weekend jinja ila yy alifkia hotel nyngne.... Kuna duka la vinyago tulikua wte n kna kasanam kadogo nlikashika nkawa nakatazama kumbe yy nae alikaona akanifata akaomba akashike nkampa...

Akanshukuru n akainunua, kisha akaniomba twende lunch, tukaenda kweny htl alofkia.. Muda wote uo story nyng tu bt lugha ni English n uzur yy kiswahl anakckia ila kuongea shida...

Nikamuonyesha hali ya kumjali + ukaribu wangu kwake, mdada wa watu akaingia kingi akanipa mzgo... Tokea nmerud tz mwanamke ni anansumbua n anataka aje uku nilipo....

Masaa kam mawili yalopita kapiga cm n kanambia nxt week anataka aje tz...

Asee upo sahh mtoa mada, hawa wadada 30+ hawa ni shida, yn ukigusa tu imo

Ukinyosha kidole tu ameshafikA
 
Ukipiga mluzi hata kama unafukuza ndege akiusikia anasimama. Ukimtumia SMS ya salaam anajibu kwa unyenyekevu na adabu zote.

Ukianza kuchat naye mwambie tu kuwa mm ni mtu mzima sitaki mahusiano ya kupotezeana muda. Dada ataunga mkono hoja na kukuona kuwa upo serious kwa ndoa.

Akichelewa kujibu SMS ama akipinda kidogo kwenye hoja mtishie kumuacha, Dada atakusihi "mpk basi".

Baada ya hapo mwambie akuletee mgegedo kwakuwa hutaki "kunywa maji" sehemu nyingine mara upatapo kiu. Dada atakuja mbioooo. Kumbe kidume unamuwaza under 18, muhenga anajituma bure na kufanya usafi na mapishi huku ukimng'ong'a.

Jamani wadada mpo kwenye zama ngumu sana hizi.. Nikisikiliza mastori ya kiumeni nawaonea huruma sana.
Hivi huwa mnajua kwamba mkiondoka getto anakuja under 18 kupiga kambi?

My take. Dada ukifikisha 30 hujaolewa, bora uachane na ndoto za kuolewa. Tafuta utaratibu wa kukata kiu yako tu. Dada utamu ushakwisha na joto hauna tena. Pia ute wa kulainisha k ushaganda na kutengeneza vijiwe vidogo vidogo (,crystals). Menopause ndiyo hiyooo inakuja Akutake nani!!!????


Wakekukosea nini ndugu dada za watu?
 
Ukiona niko kwenye shida, niombee...
Ndoa yangu imevunjika, niombee...
Nikikawia kupata mtoto, niombee...
Hata nijapo kuwa mjane,niombee...
Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena,
Ujue kwa maombi yako mimi nitabarikiwa!

USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE
Malingo yote Yale ya kipindi kile kumbe bado. .? njoo inbox mamyto bado kasi yangu haijaisha
 
Huu ni ukweli ila kwa busara zangu hua sitaki kuusema kwa kuhofia kuwakwaza dada zangu.

Kiukweli katika umri wa 30+ ukidate na mdada anakua mnyenyekevu mno tena anajali sana, matumaini yake hua ni ndoa lakini kwa bahati mbaya hua mwanaume una mtu mwingine mwenye 20+, kwa kumheshimu mwenye 30+ unamwambia ukweli tu mimi niko occupied lakini wengi hua hawakubali wanahisi akikomaa utamuoa, wengi wana kazi na maisha mazuri ila ndo hivyo wanahitaji ndoa tu.

Wanawake mlioko kwenye 20+ jifunzeni kupitia hii mada, shauri yenu msijekusema hamkuambiwa.
 
binafsi nataka mwanamke wa maendeleo.
Umeshindwa kuendelea ukiwa peke yako unataka kutoka kupitia mwanamke?
bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima,
Siyo kwamba akili zimekuwa za kiutu uzima. K imeanza Luganda na kutoa unga badala va ute wa kulainisha njia
wa peke yako unataka kutoka kupita mwanamke?
 
Ukweli mke Mwema hutoka kwa MUNGU awe 40+ au 18+ japo hii kisheria hairuhusiwi ukimpata mwanamke aliyefunzwa na kumcha MUNGU simaanishi anaenda kanisani au msikitini nasema anamwogopa MUNGU umepata Mke na utafanikiwa maisha. Ila awe mdogo wa miaka mitano kama hana ana roho mbaya Ndugu yangu utasumbuka. Hivi ubahatike tu upate mwanamke mshirikina alafu ikute na ww haupo kwa MUNGU sawa sawa wala sio nshirikina nakuambia utafanywa Ndondocha na kila jambo akikuambia utakuwa unajibu shikamoo. Kikubwa Mwombe MUNGU akupe Mke maana yeye ndio anajua mioyo ya watu na pia aliyekaa miaka 30+ sio wote walikuwa wanadharau wengine basi ni mapito yao tu aliyokusudia MUNGU
Mkuu umejenga hoja nzuri sana. Kwamba haijalishi ana umri gani. Nimekusoma!
 
Unaona sifa mwenyewe kuongea upumbavu kama huo! Unafikiri wadada wote wenye umri kuanzia miaka 30 ndo wana dhiki ya kuolewa? Tena afadhali na hao maana ukioa wanatulia kweli kuliko videmu vinavyoanza kuvunja ungo, maana wengi wao mapepe tu bora hata wa miaka 30-35 akili zao zimekuwa za kiutu uzima, wengi wao siyo tegemezi na wanajua kusaka ela. Na wakipenda wanapenda kweli, sasa ww hangaika na umri wa chini kila cku kuombwa vocha mara ela ya Saloon mara nguo ya sikukuu mpaka ela ya chupi
. Wakati wenzao wanawaza maisha. Kiukweli sitaki Msichana asiyezidi miaka 30. Ndiyo ujiulize sasa kwanini msanii mkubwa mwenye Pesa zake kama daimond anamng'ang'ania '' 'zarithebosslady 'na kuishia kuchezea kina 'Hamisamobetto' binafsi nataka mwanamke wa maendeleo. Umri namba angalia maendeleo kijana.
Sure ndg hii ni point nzur
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom