Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Wadada wenye 30+ wanatia huruma

Nadhani huu ni mtazamo wa mwandishi na anahaki ya kutoa maoni ingawa asijumuishe wanaume wote au wengi akiwa na sample ya watu wawili..
Nadhani unapooa mtu mwenye miaka 30 and above mnakua mko serious na maisha na utoto mlishamalizana nao. Ukiona unataka kumfanyia mambo ya kitoto then nahisi anayefanya huo utoto ndio mwenye matatizo.
Sasa dada ambae amepitia mengi kwenye maisha zaidi ya ndoa kwako atake nini kingine?
Ndio maana kama unamhitaji lazima uwe committed kwaajili ya kuendelea nae na maisha maana haanzi maisha.
Kwa mtizamo wangu ukifika wakati wa kuoa mtu mwenye akili iliyotimia na kuyajua maisha vyema ananafasi kubwa ya kuolewa na mtu mwenye akili kubwa na kuyajua maisha na hapo ndipo kwenye utata kumpata mwanaume mwenye akili kubwa na kuyajua maisha.
Msivunjike moyo ndoa haina kuwahi wala kuchelewa
Aisee kweli
 
Yaani mkuu, wako desperate kuolewa basi wanajirahisi balaa. Wanaume wanaitumia fursa hii vizuri. Wanakula mzigo, wanawadekisha, wanawapa nguo wafue, wanawapika halafu wakiwachoka kuwatumia wanawazingua
Mbaya sana
 
Mada zenye chuki na maudhi ya bullying zinaonyesha wewe ni mtu wa namna gani katika jamii.

Japo mi mwanaume kama wewe lakini moyo wangu wakataa na kupinga kabisa haya mawazo ya kizinzi.

Mungu aliyewaumba anawapenda kuliko wewe unayewachezea. Mwisho wa siku utaoza tu kama wote waliopita kama wewe.
 
Jamani wanaume tupunguze kuwaponda dada zetu khaaa kaolewa sio lazima bwana mungu hajaumba kila mtu aolewe wengine wameolewa ila mambo magum mimi mama yangu hajawai olewa maishani ila ana furaha isiyo na kifani
Dah kumbe unajisifia kuwa mtoto wa zinaa? Hahaha what's a nonsense
 
Ukiona niko kwenye shida, niombee...
Ndoa yangu imevunjika, niombee...
Nikikawia kupata mtoto, niombee...
Hata nijapo kuwa mjane,niombee...
Ujue kwa maombi yako mimi nitasimama tena,
Ujue kwa maombi yako mimi nitabarikiwa!

USIFURAHI JUU YANGU by UPENDO NKONE
Umewaza zaidi ya kuwaza!
 
baadhi ya dada zetu wanakosea kufanya uamuzi mapema kumjua muonjaji na mlaji. unakuta mtu hadi anafikisha miaka 30 anadanganywa na waonjaji tu anaingia kingi. nawashauri wawe wanafanya maamuzi sa hihi ukiwa na mtu ukajua ni muonjaji sio mlaji wakatae mapema mbona walaji wapo wawe na sbr
 
Sio wote lazima waolewe ebu huko
fc79b654591c2dafeb4e7ef94d307724.jpg


Punguzeni Jazba..mtu akiona hivi ndio atawaza 'Jiwe gizani'
Kuna mtu kakulazimisha uwaoe hao 30+ ?
 
Mkuu umewakosea waombe radhi ingawa ukweli upo humohumo ila sio vizuri unamaanisha umri wa kuolewa walikuwa wanalinga hata ukawapita duuu
Walipishana na wanaume kwa kuwalingia tu wakidhani muda unasimama.
Kushangaa mashavu yalishaota makovu waliowakataa wako na ingizo jipya la under twenty.
 
Tuache bwana we atujaombwa kutuoa tutaolewa tu
 
Ha ha anyways...
Mbona ndoa nyingi watu wanaolewa at that age?msiwatishie bana ndoa majaliwa
 
Ina maana somo wameelewa? mbona wapo kimya au povu limeishaa!

kwikwikwikwi nacheka kwa sauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom