sidhani kama tabia na maumbile vina uhusiano wowote
probably yes
probably yes
Tabia zetu ni wapole na hatuna maneno mingi ila ni wacheshi tatizo la hao jamaa wakimo cha kiberiti hawajiamini na ndio mana wanaongea sanaaaa viandunje ni janga.
Kuna mdada mmoja aliniambia kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na wanaume watatu kwa nyakati tofauti-tofauti.
Mdada huyo ameniambia kuwa wanaume warefu wanakera, kwani wanajiona sana na kujisikia, pia wana dharau na hawapendi mazungumzo mengi kama watu wafupi walivyo.
Nimejaribu kuuliza kwa wa baadhi ya wadada wanasema kuwa wanaume warefu ni wazuri nje ila tabia zao sio, wengi wanawaona watu walio wafupi kama takataka. nimeona nililete kwenu wadada wa jf semeni kama kuna ukweli hapa.
Be serious.
Unawaelewaje?
Hahahahahaaa! Mti wenye matunda ndio hutupiwa mawe! Tunajua hizo ni kasumba za wafupi kutuharibia jina! Teh teh teh!
Tolu hoyeee?
Urefu ni nini na kipimo cha mwanaume mrefu ni nini?
Vipi kuhusu ufupi na kipimo ca ufupi kwa wadada na wakaka?
probably yes
Mkuu kama umemshika pabaya.
Tabia zetu ni wapole na hatuna maneno mingi ila ni wacheshi tatizo la hao jamaa wakimo cha kiberiti hawajiamini na ndio mana wanaongea sanaaaa viandunje ni janga.
Mmh sina bwanado you have vivid example?
Hivi eeh?
je sisi kimo cha kati?
futi sita umezifikia au unajipa promo la u tall
siyo kweli...probably yes