FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Ngoma inafata mdundo hivi kama mpiga ngoma analeta utani kwenye upigaji mchezaji atacheza vip?
[/U]
Gosh kaka zetu hamjatulia ..natamani nimwite wife achungulie hapa...trip yako itakuwa cancelled
nhh! hapa fix, Mwakyembe hajaoa uchagani, na hata dada ake ameolewa na mnyaki wa TukuyuMwakyembe wakiwa mojawapo.
Mmmh! Preta mbona umekuwa mkali kiasi hicho au nyumbani Mkuu nini? Sidhani kama muwasilisha mada alikua na maana yoyote mbaya nadhani ni sisi wapokeaji. Kabila f'lani kuzungumziwa mara kwa mara kwa mazuri na mabaya yake inaonyesha ni namna kabila hilo linavyokubalika.una uhakika na unayosema au unanakili zile hadithi za kusadikika na kufikirika....wewe ulishawahi kukutana na mambo hayo niliyobold na blue? unaishi sayari gani wewe? jupiter au neptune? ukinijibu haya tutaendelea zaidi
Hii nimeipenda kaka na ukichukulia ile hotel ya mtoto kwa wakibosho ilivyo kubwa lazima amind.
Swai ni watu wa Hai hasa hasa seheumu za Uswaa Masama, hivi Wewe ndiye unaye wakosoa wadada wa kichanga ingali ujui chochote kuwahusu?Kma sio kirua vunjo, basi mamba kotela...
Mbona naambiwa kaolea familia ya akina Mengi (IPPMEDIA?) Au Mengi ni familia iliyo na WASIO WACHAGA? Anyway, Mwakyembe tumuwache na hasa kipindi hiki tuendacho ya Uchaguzi na mie niko kambi ya upinzani. NINAFUTA USEMI WANGU kuhusu Mwakyembe.nhh! hapa fix, Mwakyembe hajaoa uchagani, na hata dada ake ameolewa na mnyaki wa Tukuyu
wasukuma chali kwa wachaga..............lol!!
Sikonge wee jifanya mjanja tu lakini dawa yako ndogo!!!
....Nsia, Sikonge is coming and its gonna be pure business...........show him hw serious it gets when it comes to njururu!!
Nimeipenda sana hii phrase. Duh! I didn't know this kwakweliYani unaweza kuingia chumbani na mwanamke mchaga kwa lengo la malavidavi, gafla anaanza kukuambia "yani aisee haya mashuka yalivyo mazuri ungeyatembeza kule kibosho kuuza utapata hela, yani mamdogo manka ametajirika hivi hivi kwa hii biashara"....
Nsia mie hanipati ng'ooo. Tukishaandikiana mkataba na nikimwita Ankal Michuzi achukue picha za matangazo, mchezo umekwisha. Tutakuwa tunakutana naye mara moja moja nikiwa na wapiga picha. Mengine namalizana na meneja wake. Kitoto kama hiki hakitakiwi kusumbuliwasumbuliwa ovyo. Si mwenyewe umekiona juzi kilivyotulia kwenye meza ya Majaji huko Arusha?
Ila bwana, kwenye maisha you never know. Ndiyo maana wanasema "NEVER SAY NEVER."
Uzuri ni kuwa Nyani Ngabu nimeshamuahidi KUJITOWA kwenye mashindano.
Balantanda: Nkwingwa, vipi Fidela, kapatikana?
Kina Nsia tuko wengi uchagani hamtujui tu, acheni kutushambulia jaman na ni lazima mkubali tu kuwa chaggas we are leading. Hakuna ubishi kwa hilo. take care
astakafulai!![]()
Huyooooooo! Poleni vijana.
BHT: Shemeji, ni kuwa huyo Nsia Swai alipiga picha na shoga wake aitwaye Fidela na ilisemekana kuwa Fidela katulia na anatafuta mume. Sasa Balantanda alikuwa ameona kuwa binti anafaa sana kuwa Mke wa Mdogo wake. Ila ilibidi aje kwa gia ya "anataka yeye." Mengine msiulize sana jamani maana mtaacha turopoke zaidi.
Mokoyo, wengine tupo na Blackberry. Hata Msalani tupo Jamiiforums. Kuna mshikaji nilimkuta Club anasoma "kumbatio la mwenye makosa."
yameisha shem, maaana wewe mruka viunzi maarufu sana na hilo nalijua hapo umeshatwist point yako y awali.......mdogo wa Bala ni kipofu??
BAK, wengine hizo TABIA mbaya unazosema ndiyo tunazipenda ati. Kale ka-ushambaushamba kao kwa watu kama sisi ma-Bushman wa Sikonge, tunakuwa kama Chanda na Pete. Hamna tabia mbaya duniani. Wengine wanapenda Mimama iliyoshiba kama Nsia na wengine hasa Wazungu wanapenda saaana NYAMA KARIBU NA MFUPA. Hapa kweli ni kubaki tu kufurahi Kazi ya Muumba - Haina makosa.
Mie huwa wananifurahisha tu Kiswahili chao na lafudhi yao "ehhh Kadogo, umemuona yule Mbusi Msichana.....?" Huko chumbani kwa kweli inakuwa ni furaha tu kwani kila wakati atakuchekesha kwa maneno/lugha ambayo hujaizoea. Wengine wanaona hiyo ni shida.
Wanasahau kuwa yule MC wa Moshi, alikufa akishughulikiwa na dada wa Kichaga ati. Halafu wanasema hawajui shughuli! Hata Makonde hajauwa mtu kitandani ndani ya Guest House. Mchaga, YESSSS!!!
Mwageni picha za wasichana wa Wachaga wengine hapa.
![]()