Mbona wewe hupendi wachaga?kwa kizazi hiki cha sasa sidhani kama kabila la mtu linaendana na matendo yake,watu washachanganyika sana,wamezaliwa sehemu mbali na origin yao,wengine hawajui hata huko ''kwao''.Namshangaa mtu ambaye hadi leo atakuwa CONCERNED na kabila.
Hamna CHURA.....pia mambo yamebadilika from 2010-2019