Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 214
Mwingine teteteteteeh .....yooo mawee
status single/double ?:gossip:
Nimekoma.. Lkn sio aniPM kwa mengine Mamaaaa! Loooh! Ulikuwa wapi?
Mwingine teteteteteeh .....yooo mawee
status single/double ?:gossip:
uyu mdada nsia hata kama alikosea, sasa mmezidi kumchambua jamani, kama kujirekebisha atakuwa amejirekebisha, tuwe fair kwakweli, kila mtu ana makosa yake na huwa tunazo opportunity za kujirekebisha...just step into her shoes, kama ungekuwa wewe unaongelewa hivi kila siku, ungeathirika vipi kisaikolojia...tuwe na roho za utu jamani wakati mwingine...uyo naye ni mwanadamu mwenzetu mweye roho kama yetu ya kuumia na kusikitika vilevile...tusimwumize kiasi icho, au labda mlikuwa na bifu naye siku nyingi, aliwakataa etc...acheni ujinga huu sasa inatosha..
HEHEHEHE!Lakini; Wachagga (wadada) hawajui mapenzi. Wadau wengi wanasema wadada wa kichaga ni malembukeni kwenye mapenzi, ni waoga, ukiwa nao chumbani utadhani unaamrisha kikosi jeshini, sio wabunifu wa vionjo vya mapenzi... Yani unaweza kuingia chumbani na mwanamke mchaga kwa lengo la malavidavi, gafla anaanza kukuambia "yani aisee haya mashuka yalivyo mazuri ungeyatembeza kule kibosho kuuza utapata hela, yani mamdogo manka ametajirika hivi hivi kwa hii biashara".... Wadada wa kichaga, badilikeni banaa.. sio fresh.
Umesoma thread yote Ubungo??
Thread inahusu wadada wa kichagga walivyo wazuri ila wako nyuma kwenye mapenzi...na Nsia amekua mfano tu wa huo uzuri!
Punguza hasira kidogo!!!:yuck:
AAFU ninyi mnaojifanya mnatukana mabinti wakichaga ninyiiiii!
GAAADEEEM ZENU
sio siri kama unataka mwenza classic kwenye tabia flaniflani, wadada wa kichagga ni kiboko.
Ukitaka mashepu ya kibantu yapo machame, ukitaka wazuri wa sura wapo marangu, ukitaka wapole wa tabia wapo tarakea na usseri (rombo), ukitaka wachakarikaji ni wachagga wote lakini hasa mashati (rombo), ukitaka sauti za kubembeleza nenda uru au mkuu (ila uwe makini manake hazi-reflect upole), ukitaka vichwa madarasani na maishani nenda rombo marangu ukitaka weupe, warembo, n.k ila kama humaindi miguu, wachaga ni saizi yako.
Lakini; wachagga (wadada) hawajui mapenzi.
Wadau wengi wanasema wadada wa kichaga ni malimbukeni kwenye mapenzi, ni waoga, ukiwa nao chumbani utadhani unaamrisha kikosi jeshini, sio wabunifu wa vionjo vya mapenzi... Yani unaweza kuingia chumbani na mwanamke mchaga kwa lengo la malavidavi, gafla anaanza kukuambia "yani aisee haya mashuka yalivyo mazuri ungeyatembeza kule kibosho kuuza utapata hela, yani mamdogo manka ametajirika hivi hivi kwa hii biashara"....
wadada wa kichaga, badilikeni banaa.. Sio fresh.
Si kila mdada wa kichagga yuko hivyo i guess ni huyo/hao uliokutana nao wamekufanyia hivyo wewe unajumuisha kila mtu. Mark the bolded text. Sie ni wazuri sana mungu katujaalia kila kona ya mwili hata kama miguu haijakaa sawa angalau tunatembea kuliko kukosa kabisa miguu (no offence intended). Muache kutusemasema kila siku instead sema na demu wako anayekulet down mkiwa chumbani........................
Mambo ya chumbani ni creativity ya wahusika wote 2 na si kwa msichana pekee. Kama msichana anaonekana hayawezi, muelekeze, mpe kitabu, majarida na mengineyo ili ajifunze.
sasa kama si ukabila ni nini hiyo...acheni chuki na wivu kwa wachaga, wamewakosea nini..kama si ukabila wenu ni nini hiyo, mnajenga nini sasa hapa, hamuoni kama mnabomoa umoja wetu
Yupo jamaa yangu ambaye dem wako mi msomaji wa makala za JF. jamaa anasema juzi kwa mara ya kwanza tangu wajuane dem wake alithubutu kumvua boxer, huku akimuangalia machoni.
JS, wenzio washaanza kubadilika hivyo, we bado?
Yupo jamaa yangu ambaye dem wako mi msomaji wa makala za JF. jamaa anasema juzi kwa mara ya kwanza tangu wajuane dem wake alithubutu kumvua boxer, huku akimuangalia machoni.
JS, wenzio washaanza kubadilika hivyo, we bado?
Eeee Ramos mwenzio wala sina cha kubadilisha so far no complains