ELI COHEN
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 9,460
- 28,832
Yeah its does, ila theoreticallyIf two people are In love distance can never be a problem
Ila love is practically.
Bila ya kuonana na mtu na kushare energy pale mnapoongea kutembea pamoja kwa muda mrefu kama mwaka hivi hio ni kutafuna upepo.
Long distance nyingi zimeangukia pua maana unakuta mtu anakutana na faraja ya karibu yake wewe wa mbali anaanza kukusahau taratibu sasa sema labda ana kitu anachotaka kutoka kwako ambacho ni kama ulevi kwake kama matako makubwa, good sex au pesa nyingi anaendelea kujifanya anakujali