Obamamtoto
Senior Member
- Oct 23, 2012
- 130
- 179
japo siyo mjua vitu sana lkni ieleweke tu kuwa ndoa ni muunganiko wa hiari uliokusudiwa wa kudumu neno kubwa ni muunganiko wa hiari bila kulazimishwa na mtu yyte kwa hyo ni sawao kumwambia hvyo mpenzi wake lkni yy ana uhiari????
