Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 166,196
- 184,913
Wanawake wanaoulizia ndoa... Waache waulizie...Wanauliza nini?????
Wanawake wanaoulizia ndoa... Waache waulizie...Wanauliza nini?????

Labda kama mwanaume hana dalili wala mpango nae. Kuna wanaume Wana beg kabisa yani Kila kukicha tuoane tuoane khakhaakhaa the world is not fair aseeehWanawake wanaoulizia ndoa... Waache waulizie...
Sometimes ni vizuri kukumbusha... Kuna kamsema kanasema...Labda kama mwanaume hana dalili wala mpango nae. Kuna wanaume Wana beg kabisa yani Kila kukicha tuoane tuoane khakhaakhaa the world is not fair aseeeh
And that what costs us women!Sometimes ni vizuri kukumbusha... Kuna kamsema kanasema...
If get free milk why buy the cow...
Siyo kukaza as such but kukumbushia siyo mbaya Super dear.... Kama mimi nakuruhusu nikumbushie hata kila dikaka....And that what costs us women!
Dawa ni kukaza tu
Si mpaka nikukumbushe lakiniSiyo kukaza as such but kukumbushia siyo mbaya Super dear.... Kama mimi nakuruhusu nikumbushie hata kila dikaka....
hahaha ndo nimeibuka baada ya.mkuu kunikingia kifua mish youUmepotea kama jina la Bashite.
Mpe pole shoga ako aseeh.
Ila naona kama mnatutafsiri vibaya. Kwani kuwa na kazi nzuri na kila kitu ndiyo guarantee ya kuoa?
Mwisho kwa waliopo katika uchumba wajue Sio kila mahusiano yanaishia kwenye KUOANA.
Asanteni kama kuna swali niulizwe haraka.
mbn unatutisha. Swali ni kwamba kwanini Uanzishe mahusiano na MTU ambaye huna malengo naye??Papuchiiii![]()
![]()
mbn unatutisha. Swali ni kwamba kwanini Uanzishe mahusiano na MTU ambaye huna malengo naye??
Daaaa kweli duuuu sina cha kusema!!!!!!Papuchiiii
Na kweli bora umekosa maana ...teh tehDaaaa kweli duuuu sina cha kusema!!!!!!
Maana nn??Na kweli bora umekosa maana ...teh teh
Nitamalizia keshoMaana nn??