Wadada tusilazimishe ndoa

Wadada tusilazimishe ndoa

Kuna sababu nyingi sana za kukataa kuolewa na mtu! Na zingine ni sababu nzuri tu na muhimu
ziweke wazi tuelimishane mie binafsi kama sikupendi ndo siwezi kukuoa, wapo wanakulilia wakuoe nawewe unawalilia wakuoe
 
Shunie...


Waambie na wale ambao wanapata nafasi za kuolewa afu wanajifanya madada-town

Mwisho wanakuja kusumbua kanisani...
hahahhahah wanakuja kusumbua kanisani waolewa halaf umri umeshaenda
 
ziweke wazi tuelimishane mie binafsi kama sikupendi ndo siwezi kukuoa, wapo wanakulilia wakuoe nawewe unawalilia wakuoe
Mkuu kuweka sababu zangu hapa siwezi!!!
Ila kila mtu ana malengo yake ikija kwenye suala la ndoa... Kama wewe uwepo wa mapenzi unatosha ni sawa ila wengine wana sifa nyingine.
 
kusema ukweli ukipenda kiukweli akili inapotea na unakuwa hauelewi ukiambiwa no afu mtu akaonyesha kitu kidogo cha kibinadamu wewe unaona kama ni anakupenda
samahani mkuu sijui nina hangover unajua nimekujibu tu lakini sikuelewi tokea mwanzo.. nisamehe sana nahisi kama na wewe unielewi ila unajitahidi.. embu tuanze upya swala hapa ni wadada kulazimisha ndoa me nikaongezea hata wakipata mimba wasilazimishe wafanye majukumu yao.. okey twende sasa.. asante mkuu
 
hahahhahah wanakuja kusumbua kanisani waolewa halaf umri umeshaenda
wananichekeshaje hao wadada jamani enzi akiwa mdogo anadeka sana ila acha umri uende anakimbilia kanisani ataimba kwaya, mstari wa mbele kukaa,ukimtongoza anakuambia njoo kanisani au okoka kwanza.wapo waliotaka kuwa masista i.e watawa ila baada ya tajiri kumtaka anapiga chini utawa na anaolewa
 
samahani mkuu sijui nina hangover unajua nimekujibu tu lakini sikuelewi tokea mwanzo.. nisamehe sana nahisi kama na wewe unielewi ila unajitahidi.. embu tuanze upya swala hapa ni wadada kulazimisha ndoa me nikaongezea hata wakipata mimba wasilazimishe wafanye majukumu yao.. okey twende sasa.. asante mkuu
ni ukweli wasilazimishe mana mwisho wa siku watajuta kuolewa na anayempenda yupo atamuoa tu na huyo mtoto
 
ni ukweli wasilazimishe mana mwisho wa siku watajuta kuolewa na anayempenda yupo atamuoa tu na huyo mtoto
hapo ni kweli kabisa, sema huwa ni wazito kuelewa wakishazaa wanataka kulazimisha mambo mwisho wa siku wanaishi maisha magumu ya mateso sana ..muhimu ni kujitambua basi
 
hapo ni kweli kabisa, sema huwa ni wazito kuelewa wakishazaa wanataka kulazimisha mambo mwisho wa siku wanaishi maisha magumu ya mateso sana ..muhimu ni kujitambua basi
halafu ndoa/mapenzi ni pande mbili zote kuridhia i.e ni kipaji kinatokea naturally ni kama ukindondosha kitu lazima kiende chini na sio juu hilo halina ubishi wowote
 
samahani mkuu sijui nina hangover unajua nimekujibu tu lakini sikuelewi tokea mwanzo.. nisamehe sana nahisi kama na wewe unielewi ila unajitahidi.. embu tuanze upya swala hapa ni wadada kulazimisha ndoa me nikaongezea hata wakipata mimba wasilazimishe wafanye majukumu yao.. okey twende sasa.. asante mkuu
hahahhahahh
 
wananichekeshaje hao wadada jamani enzi akiwa mdogo anadeka sana ila acha umri uende anakimbilia kanisani ataimba kwaya, mstari wa mbele kukaa,ukimtongoza anakuambia njoo kanisani au okoka kwanza.wapo waliotaka kuwa masista i.e watawa ila baada ya tajiri kumtaka anapiga chini utawa na anaolewa
tunasubili Mungu atende miujiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom