Wadada tusilazimishe ndoa

Wadada tusilazimishe ndoa

Ha ha ha ha aisee Unakumbuka jana nlisema una busara fulan hv sjawah kuiona huyu uliempata sa hv usimuache ana kismat cha upako
aisee basi sawa acha niwe na kismat cha upako, unamshaurije huyo dada au unatushaurije sisi wadada je n sawa tulazimishe ndoa au tunakosea.
 
maneno haya ni mepesi kwa mabashite lakini kwa wenye uelewa mpana wakisoma hapo kuna ujembe mzito sana ndani yake....hongera sana mamy....chamsingi ni uvumilivu na kumuomba sana Mungu....kwani bila yeye Mungu kupenda hakuna kinachoweza kuendelea maana Mungu humpa amtakaye na hutoa kwa kile mtu anachostahili na si vile mioyo yetu inavyotaka...Mungu angekuwa anatoa kulingana na uhitaji wa Moyo wetu wengi tungeumizana na kudharauliana sana.
 
tatizo la wadada walio wengi wakiwa kwny age fulani wanajua hatatoka katika hiyo age anakuja kushituka kafikisha miaka 29 hana mchumba xaxa anaaza kuforce yoyote yule atakeye kuwa mbele yake wakati huo anayemwambia maswala ya ndoa nikweli hajajiandaa amejiandaa kutafuta mali si mke dada zangu tupatapo wachumba wakati mwafaka fanyeni maamizi sahihi kwa wakati sahihi
 
Wanawake wanachoangalia siku hizi je kuna misosi/pesa? Wakiona hiyo unayo watakuganda sana hata km unawatesa hawajali. Wanaogopa shida na njaa kuliko hata kifo
 
maneno haya ni mepesi kwa mabashite lakini kwa wenye uelewa mpana wakisoma hapo kuna ujembe mzito sana ndani yake....hongera sana mamy....chamsingi ni uvumilivu na kumuomba sana Mungu....kwani bila yeye Mungu kupenda hakuna kinachoweza kuendelea maana Mungu humpa amtakaye na hutoa kwa kile mtu anachostahili na si vile mioyo yetu inavyotaka...Mungu angekuwa anatoa kulingana na uhitaji wa Moyo wetu wengi tungeumizana na kudharauliana sana.
shukrani eddy Mungu ndio kila kitu
 
aisee basi sawa acha niwe na kismat cha upako, unamshaurije huyo dada au unatushaurije sisi wadada je n sawa tulazimishe ndoa au tunakosea.
Hapana kulazimisha sishaur maana matokeo yake utakuja kuyaona badae.
Wanaume tuna principal moja tunafanya kitu kwa jinsi moyo wetu unavyotaka especialy linapokuja swala la ndoa, La msing ni aweze kutengeneza mazingira ambayo mwanaume ataona umuhimu wa huyo dada kuwekwa ndan as long as ameishi nae anajua weakness na strength zake anaweza kutumia hzo kumfanya aweze kumuoa na SIO KULAZIMISHA
 
Hapana kulazimisha sishaur maana matokeo yake utakuja kuyaona badae.
Wanaume tuna principal moja tunafanya kitu kwa jinsi moyo wetu unavyotaka especialy linapokuja swala la ndoa, La msing ni aweze kutengeneza mazingira ambayo mwanaume ataona umuhimu wa huyo dada kuwekwa ndan as long as ameishi nae anajua weakness na strength zake anaweza kutumia hzo kumfanya aweze kumuoa na SIO KULAZIMISHA
sawa Bonny umeshauri vizuri
 
Tena kujipanga nineno pana sanaa, waweza kua juu kiuchumi ila hujajipanga ki saikolojia na ki akimawazo (utayari)
Marriage is readiness.
Exactly mkuu. Watu wengi wanajua ukishakuwa na kazi/uchumi basi unaoa. Kuna mambo mengi jaman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom