Wadada, swali la milioni moja hili hapa!😄

Wadada, swali la milioni moja hili hapa!😄

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
8,205
Reaction score
12,498
Kwanini baadhi yenu mkisikia “baby baba akikwambia nitumie Control Number ya ada nimlipie mtoto” mnabadilika ghafla kuwa mbogo? 😂😂

Mtu anakuomba tu Control Number ili alipe ada ya mwanae, lakini majibu yanakuwa:

«“Kwa nini unataka Control Number?” na matusi mazito juu!

“Hiyo hela nitapanga mwenyewe.”

“Unataka kunidhibiti?” 😂😂

Sasa hapo baba anajiuliza: Kwani uliposema tuchangie ada ya mtoto ni lazima upewe wewe ili uipeleke ?

Naomba wadada mtupe ukweli wenu hapa: Control Number ikitumwa kwa baba wa mtoto ili alipe ada moja kwa moja, tatizo huwa liko wapi?

Au kuna mambo tunayoyakosa sisi wanaume?

Mnawatumia watoto kama chambo cha hela mbali na matumizi mnayopewa?!

Fanyeni kazi
 
Hivi ada zinazolipwa kwa control number ni kubwa kiasi cha baby mama kuitaka hio hela? Au ada ya chuo?
 
Safi, haha eeh hapo umegusa jambo la msingi bana, wanaume wengi wamezoea kutumia pesa zao kwa kila kitu, lakini mtoto wa mtu ni mtoto wa mtu, usikimbie wajibu wako. Lakini pia sisi wanawake tujitahidi kuwa na kipato chetu, si kila kitu cha mwanaume. Mchongo mdogo: 'Control Number ni ya kujaribu mapenzi, ukikataa unajua hana imani nawe!' 😂
 
Safi, haha eeh hapo umegusa jambo la msingi bana, wanaume wengi wamezoea kutumia pesa zao kwa kila kitu, lakini mtoto wa mtu ni mtoto wa mtu, usikimbie wajibu wako. Lakini pia sisi wanawake tujitahidi kuwa na kipato chetu, si kila kitu cha mwanaume. Mchongo mdogo: 'Control Number ni ya kujaribu mapenzi, ukikataa unajua hana imani nawe!' 😂
😂😂😂Waombe tu mm sio single mother ila nilipewa ela ya ada nikaila kias nikalipa kidogo


Awamu ya pili akataka kulipa kwa control number nilikuwa mkali kama hao wamama 😂😂😂
 
Safi, haha eeh hapo umegusa jambo la msingi bana, wanaume wengi wamezoea kutumia pesa zao kwa kila kitu, lakini mtoto wa mtu ni mtoto wa mtu, usikimbie wajibu wako. Lakini pia sisi wanawake tujitahidi kuwa na kipato chetu, si kila kitu cha mwanaume. Mchongo mdogo: 'Control Number ni ya kujaribu mapenzi, ukikataa unajua hana imani nawe!' 😂
American nigga kumbe unakitobo
 
Kama mwanaume unajiongeza tu.. Wanawake huwa wanakuwa na vitu vya siri sana
 
😂😂😂Waombe tu mm sio single mother ila nilipewa ela ya ada nikaila kias nikalipa kidogo


Awamu ya pili akataka kulipa kwa control number nilikuwa mkali kama hao wamama 😂😂😂
Ndo zenu hizo tushawajulia. Badilisheni mbinu, hii mbinu ni ya kitoto. Eti naomba ulipe ada nitumie mimi. BIG NOO. Unataka nilipe ada leta Control Number ya shuleni. Men sanukeni!!!
 
Sabbu ada unayoambiwa na michango huenda sio halisi

Uliyolipa awali haijafika shule imelipwa vikoba 😀😀

Au ameshalipa anataka atafune na hzo zingine
Huu ujinga tushaujua. Unafika mwisho wa mwaka shule wanakupigia baba mtoto kwamba ada inadaiwa wakati we ulishatoa yote!.

Vidume wenzangu msikae kindezi hawa wamama/wasimbe wapelekewe moto wa kutosha hadi waite maji mma
 
Back
Top Bottom