X-Agent
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 8,832
- 16,658
Yaani we jamaa umenigusa kuna kabinti nilikaalika home, siku hiyo nikakaacha rumu kaliondoja na saa,taulo na shati langu...nilichofanya nilimblock kwakila namba atakayo nipigia nayo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app