Wadada punguzeni njaa!

Wadada punguzeni njaa!

Wanataka kumiliki wanawake bila kuwahudumia ....wanaacha kuoa wanajikabidhi halafu hawahudumii sasa sijui wanawaza nini......


Wenzao zamani ukiona mwanamke unatuma mshenga anaenda kutoa posa unaoa unatulia zako home kimya hakuna sijui kala sukari yangu Mara chunvi hakuna ...

Sikuhizi hawafati taratibu wanajibebea wenyewe kiholela wanakuja kulia lia huku ......





Sent using Jamii Forums mobile app
Ungesema .. HATUFUATI TARATIBU ningekuelewa....

Hivi ninapojibebea kiholela, na huyo anayebebeka kiholela amefuata taratibu
 
Kuna mmoja huyo kila akiona nguo nimevaa akiisifia lazima akija gheto aichukue, akanifanya nikawa sina Uhuru hata wa kupiga picha nipost...maana naona kabisa angezimaliza zote...kila siku nifanye kazi ya kumnunulia yeye nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila vijana wa kiume mna gubu sana chaaa,..mkiombwa nauli mnalia,mkiombwa spray ya buku jero kamasi hizi hapa,.jamanii hadi chumvi roho zinawaruka kama ndondo jikoni lol😂😂😂😂mnatakaje etii???

BURE GHALI jomoniii,.😝


Kwanini usijitosheleze mwenyewe, kila siku kuomba tu? Mnajuwa mnaboa sana na ndiyo maana hamtongozwi siku hizi.
 
Hivi wadau mnawachukuliaje wanawake wanaokuja gheto wakiona sukari, tambi, shati zuri, simu, pafyumu, saa au chochote kizuri wanataka?
Kwani mimi nilonunua sina shida? Wadada punguzeni njaa.
Hata kama mtu alikuwa na mpango nawe anakuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app

Kwan mkuu kwako wapi na mm nije nushukue kinacho nifaaa 😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom