rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,969
Na ukawa unampa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wajinga ndio waliwaooKuna mmoja huyo kila akiona nguo nimevaa akiisifia lazima akija gheto aichukue, akanifanya nikawa sina Uhuru hata wa kupiga picha nipost...maana naona kabisa angezimaliza zote...kila siku nifanye kazi ya kumnunulia yeye nguo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app