rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Na ukawa unampa tuuKuna mmoja huyo kila akiona nguo nimevaa akiisifia lazima akija gheto aichukue, akanifanya nikawa sina Uhuru hata wa kupiga picha nipost...maana naona kabisa angezimaliza zote...kila siku nifanye kazi ya kumnunulia yeye nguo
Sent using Jamii Forums mobile app



Wajinga ndio waliwaooSent using Jamii Forums mobile app

kumbe alipita nayo..

