Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
mi nnachoamini zawadi hutolewa kumpongeza mtu kwa kitu alichoachieve au kuonyesha tu ulikuwa unamuwaza...sasa hizi za matukio mara chrismass naona kama kuendeshwa na matukio...
wee ndio umekariri vibaya..zawadi ni zaidi ya kitu..hata nedno tuu latosha kuwa zawadi...sema wewe sasa ndo unachezea vijisenti vyako na kwenda kununua mi-vitu unayoijua wewe mara uishie kutimuliwa nayo...mwenzako zawadi nayotoa huwa ni kuongeza dozi ya lile tendo na ikibidi nagonga hata ndogo kama zawadi ya achievements alizofikia....
Jiongeze dogo hao hawaridhiki na maranyingi hupendelea vitu tofauti na unavyowazia...immagine bday yake unamkata denda la kufa mtu mbele ya wazazi wake full kumbambia kumbania ukutani then unamshushia happy bday honey...lazma akubali...hutoskia ukiulizwa zawadi mara maua mara perfumes mara chipi sijui ninininininiiii...
Badilika dogooo toa zawadi zenye kuleta na kuimarisha mahusiano hasa ya ngono.