Wadada mnisamehe kidogo!

Wadada mnisamehe kidogo!

nililo likataa maishani mwangu ni leo kuwa na huyu kesho nipo na mwingine hiyo inakupunguzia heshima halafu kitu kingine hakuna mtu humu duniani asiyependa kupata heshima ya kuwa baba au mama katika familia.
sio kweli ..sio kweli kabisaaa"" kama hivyo usemavyo ni sahihi basiii Mandela angeshapoteza heshima yake baada ya kuamua kumuacha aliyekuwa mkewe winie Mandela "" Jamii itakuvunjia heshima endapo itaona kuwa unaachana na mke/mume kwa minajili ya kuendekeza umalaya( refer yaliyotokea kwa flora mbasha ""). na pia waweza kupoteza heshima ktika Jamii endapo mwenzako atakuwa anakufnyia usaliti na kutembea tembea na wanaume/wanawake hovyo .vitendo vyake viovu vitapelekea kukuvunjia heshima pia.hata familia yako inaweza ikakutenga..hapa ulipo waweza kuwa umeshapoteza heshima kwa watu kwasababu ya vitendo vya huyo gf wako ila kwakuwa huna desturi ya udadisi umeshndwa kulitambua hilo ...
so jiandae kusingiziwa mimba mkuu
 
Nilipokuwa nasoma shule nilimpata mwanaume hata nguo hna nilimsaidi mpaka akajitambua akasoma akapata mzungu na akaniacha mimi nasaga viatu.
Wanaume maskini ndio wanashida kuliko wenye nazo.
Kwa hiyo bora mtu apate mtu wa saizi yake .
Tu tena nyie wanaume walokole kerooo kuliko wavuta bangii.
Mnakero shida ukiwa nao nitabu tupu ukiolewa nao watoto wanachanganyikiwa hamtajielewa mnataka nini .
Yaani bora ule raha upewe kila kitu .
Uwachune wakuchune basii uolewe muda ukifika watu ni hovyo unaweza kuwa namtu mzima unadhani mnapanga maisha kumbe kachanganyikiwa.
So becareful sio unatusema huku nyie ndio mnatabu.
Acha kupotosha mkuu, yaani mvuta bangi ni bora kuliko mtu aliyeokoka.....hizi akili za wapi ?....soma kwa makini uzi huu sjasema usiwe na mpenzi mwenye pesa ambaye hajaoa nilichosema wengi mnataka mapenzi na wenye pesa hata waliiooa ilimradi tu mpewe pesa lkn mwisho wa siku umri unawatupa ndo mnaanza kutaka kuolewa ilihali mwanzo mlitaka wenye pesa hata waume za watu.
 
Kuwa na mtu anagongwa hovyo inakuongezea heshima? Utapata heshima ya kuwa baba wa watoto wa wenzio.
nililo likataa maishani mwangu ni leo kuwa na huyu kesho nipo na mwingine hiyo inakupunguzia heshima halafu kitu kingine hakuna mtu humu duniani asiyependa kupata heshima ya kuwa baba au mama katika familia.
 
Dah mwanamke akiwa malaya anakata stim kinoma
bab "" ndoa sio kama mahusiano ya bf/gf ""halafu sikatai kuwa sio kwamba hzo sio tabia za. baadhi ya wanawake lakini sio kwakiwango hcho ndugu ..mwanamke umemfuamania zaidi ya Mara 3 kisha wataka kumuoa ..jiandae kuletewa watoto ambao sio damu yako ..
jiandae kugongeawa na mdogo/kaka yako "" huyo inaonekana umalaya unazunguka kwenye misuli mishipa yake ya damu " kuhusu hilo laupataji pesa ...kupata pesa nijiuhudi zako tu na maarifa pamoja na mipango imara basiiiii" pesa huwa haipatijlkani kwa huo mtazamo maybe uwe umekwenda kwa MGanga then ukaambiwa uitumie nyota yake ...then kama hali ndio iko hivyo kama usemavyo means Siku akikuacha basiii uwe Tayari kujiaandaa kuishi ktk maisha ya dhiki
 
Acha kupotosha mkuu, yaani mvuta bangi ni bora kuliko mtu aliyeokoka.....hizi akili za wapi ?....soma kwa makini uzi huu sjasema usiwe na mpenzi mwenye pesa ambaye hajaoa nilichosema wengi mnataka mapenzi na wenye pesa hata waliiooa ilimradi tu mpewe pesa lkn mwisho wa siku umri unawatupa ndo mnaanza kutaka kuolewa ilihali mwanzo mlitaka wenye pesa hata waume za watu.
Ndio umewahi kuishi na walokole waukweli?
Acha tu.
 
Dah mwanamke akiwa malaya anakata stim kinoma
kijana hataki kuelewa "" anasema demu wake amewahi kumfumania Mara 3 kwa ushahidi wa macho Yke mwenyewe...na Mara nyingine ni kwakusikia ama kuhisi ..nampka leo bado yupo nae
 
Ndege wafananao huruka pamoja. Kama chaarusha unatumia mkuu basi mvuta bangi utafaana nae
Anakuambia ukweli walokole wanatesa mtu ukimkosoea nakufungulia biblia .
Anakutesa nakuambia Mungu hapendii.
Ukichellewa kupika acheni kwanza tuombee halafu ndio uendelee kupika ulikuwa wapi usipike unapewa tena mistari nikali.
Etiii jamani.
 
Anakuambia ukweli walokole wanatesa mtu ukimkosoea nakufungulia biblia .
Anakutesa nakuambia Mungu hapendii.
Ukichellewa kupika acheni kwanza tuombee halafu ndio uendelee kupika ulikuwa wapi usipike unapewa tena mistari nikali.
Etiii jamani.
Kwa hiyo bora mvuta bangi akizivuta anakutupia mabegi nje na ngumi juu ?
 
Walokole hadi wakati wakula mnaomba mpaka basi utalala mpaka amalize kuomba unaona bora ule ukila unachapwa utakulaje kabla hatujamaliza kusali.
Kwa hiyo unakula huku unalia.
Kingine ukiwa mlokole wiki nzima siku zimepangwa kuomba asubuhi jioni bible study usiku sala .
Watoto hamrusiwi kwenda kucheza mbali ukienda unapigwa kwanini mlitoka kucheza.
Kanisani siku ya pasaka mnahudhuria misa zote usipoonekana moja kipigo.
Masaa yote nyimbo za dini .
Ukisoma vitabu vingine tofauti na vya dini ni vya shetani yaani hata mavazi yasio marefu yaliyopwaya ni vya shetani ukijiremba wewe ni washetani kila kitu wewe ni wa shetani.
Sasa huishi kwa amani.
 
si kweli...mimi nilimvumilia wangu since tupo chuo hadi tukamaliza...

tukaingia kitaa wote tukiwa jobless...nlimtia sana moyo mana i had hopes ipo siku tutafanikiwa...

na i tried so hard not to put pressure into his life...

sikua nikimuomba pesa na wala pia sikuwa na haraka ya mafanikio...

sikuwahi kumcheat and i loved him like he was the last man on earth...

and in return he dumped me...kisa he doesn want to get married...

nikamwambia ndoa aint a big deal so long as tunapendana kama ipo ipo tu...mara oh sitaki kua kwenye mahusiano kwa sasa...so wewe move on tu kama nlivofanya mimi...sitaki kukupotezea muda...

nkamwambia muda wa kwenda wapi....namuuliza wasnt I good enough for you??? eti no your were great...nilikukosea kitu? no...sasa shida ikwapi...

Sometimes unajitoa kila hali kwa sababu ya upendo ila mwisho wa siku ni maumivu tu...

Mana nlikua pia nampa ideas za biashara...matangazo ya kazi namtumia...

Sometimes hivi vitu havina formula...
 
Anastahili tuzo ya juu ya UVUMILUVU.
Hahahahah *****, wakati kuna ambao wakifichiwa simu tu wanaaga kimya kimya kumbe kuna ambao wanashuhudia usaliti kwa macho makavu guest unafumania halafu unasamehe tu. Wonders shall never end!!!
 
si kweli...mimi nilimvumilia wangu since tupo chuo hadi tukamaliza...

tukaingia kitaa wote tukiwa jobless...nlimtia sana moyo mana i had hopes ipo siku tutafanikiwa...

na i tried so hard not to put pressure into his life...

sikua nikimuomba pesa na wala pia sikuwa na haraka ya mafanikio...

sikuwahi kumcheat and i loved him like he was the last man on earth...

and in return he dumped me...kisa he doesn want to get married...

nikamwambia ndoa aint a big deal so long as tunapendana kama ipo ipo tu...mara oh sitaki kua kwenye mahusiano kwa sasa...so wewe move on tu kama nlivofanya mimi...sitaki kukupotezea muda...

nkamwambia muda wa kwenda wapi....namuuliza wasnt I good enough for you??? eti no your were great...nilikukosea kitu? no...sasa shida ikwapi...

Sometimes unajitoa kila hali kwa sababu ya upendo ila mwisho wa siku ni maumivu tu...

Mana nlikua pia nampa ideas za biashara...matangazo ya kazi namtumia...

Sometimes hivi vitu havina formula...
Dah kuna wadada mpogo down on earth kinoma yani...venye mpo super submissive kwa fasi ya bigidii loveeee!
I wish ungekuwa na mtu kama mie usingekaa ulie! We ndio ungesepa labda,
 
Haya
IMG-20180313-WA0003.jpg
 
kijana hataki kuelewa "" anasema demu wake amewahi kumfumania Mara 3 kwa ushahidi wa macho Yke mwenyewe...na Mara nyingine ni kwakusikia ama kuhisi ..nampka leo bado yupo nae
Jamaa ana moyo wa huruma sana, overnice guy!
Yani mie ni provide still uni cheat, sifanyagi huo upumbavu maisha yangu yote!
 
Jamaa ana moyo wa huruma sana, overnice guy!
Yani mie ni provide still uni cheat, sifanyagi huo upumbavu maisha yangu yote!
mkuu huo sio huruma ni ujinga ..kama angekuwa na huruma asingekuja kuonyesha hisia zake za maumivu hapa ""
 
Back
Top Bottom