Wadada mnisamehe kidogo!

Wadada mnisamehe kidogo!

nimeupokea ujumbe kwa mikono miwili....hadi usingiz umekata ghafla
 
Aiseee anakuchit na unajua
Kabsa na Bado unamsamehe
Na c mara moja aiseee

Kweli moyo ukipenda co
Mchezo

Ama kweli kipendacho roho
Hula nyama mbich
HUKO SIO KUPENDA ..HUO NI UJINGA ..UNAANZA VIPI KUPENDA KITU KINACHOKUUMIZA ..YEYE ANAONA SAWA KABISA KUMBE ANAZIDI KUPANUA MISHIPA YA MOYO KWA MAUMIVU ANAYOYAPATA NA MWISHO WA SIKU ATAKUJA KUJIPATIA PRESHA ""
KUPENDA HAKUMAAANISHI KUWA UNAPASWA KUVUMILIA KILA AINA YA UOVU ...MAPENZI NI KITU KINAPaswa KuHUSISHA AKILI .MOYO . NA VIUNGO VYA MWILI VYOTE VYA NJE KWA UJUMLA WAKE """ SHIDA INAKUJA. PALE UNAPOAMUA KUUPA MOYO KAZI YA KUFIKIRI KAZI AMBAYO ILIPASWA KUWA NI YA AKILI
 
Unaona bora awe navyo mnaanza wote mkiwa chini mkifanikiwa anatafutwa mrembo zaidi yako hicho kitu kinawakimbiza wengi
Tatizo wenye navyo wachache au washaoa waliotafuta nao. Wachovu ndio tumejaa mnatukimbia.
 
Ndio mkipendwa hamtaki halafu wadada wengi wanachuna mahali wanawaletea nyie ambao hamna .
Halafu nyie mnawapa vimeo ambao hamna mpango nao kero tu ambao mkiishiwa wanawaacha mmtuchosha.
Duh unachuna mahali unamletea mtu 'unaempenda' ?!
 
sasa si mkishafikia hayo mafanikio ndio mtafute wanawake!! msituchoshe.
 
Thanx Mkuu.Umegusa vitals.Wengi hufikiri kuwa watabaki hapo hapo walipo kiumri.They nvr think abt numbering in age.Vzr km watausoma Uzi na kuutilia maanani basi km ni mtihani umewapatia majibu.
 
hiii jamaaa una roho ngumu ..yaani umegongewa mpka unashuhudia mwenyew na bado unasamehe tena Mara 3 ...huyo mwanamke amekulisha Nyama ya kalio au ??
mkuu kinacho nifanya mpaka sasa nibaki naye jambo la 1. Huwa nikimpa hata elfu 1 ya vocha kama kesho yake napata michongo hata ya zaidi ya 50 elfu kwa siku. Jambo la 2. Mimi ninania ya kuoa kweli sasa nikikaa kuwa labda huyo amenifanyia hiki niachane naye kesho nichukue mwingine nimkute akonatabia hizi tuachane unadhani nitaoa kweli halafu hakuna msichana malakia ambaye utampata humu duniani inabaki tu kufumba macho wakati wa kuoa ili uwe katika familia na upate heshima ya kuitwa baba. Over....
 
Aise huyo mchumba au mke ! Watu wanabahati kupata wanaume wavumilivu duu hongera
nililo likataa maishani mwangu ni leo kuwa na huyu kesho nipo na mwingine hiyo inakupunguzia heshima halafu kitu kingine hakuna mtu humu duniani asiyependa kupata heshima ya kuwa baba au mama katika familia.
 
Bitter truth
Mm nishajivutia kifaa kinanita moyo kweli kweli kunako mafanikio

Wale wanaosubir mr. Perfect wajiandae kuwa skeleton on waiting
 
mkuu kinacho nifanya mpaka sasa nibaki naye jambo la 1. Huwa nikimpa hata elfu 1 ya vocha kama kesho yake napata michongo hata ya zaidi ya 50 elfu kwa siku. Jambo la 2. Mimi ninania ya kuoa kweli sasa nikikaa kuwa labda huyo amenifanyia hiki niachane naye kesho nichukue mwingine nimkute akonatabia hizi tuachane unadhani nitaoa kweli halafu hakuna msichana malakia ambaye utampata humu duniani inabaki tu kufumba macho wakati wa kuoa ili uwe katika familia na upate heshima ya kuitwa baba. Over....
bab "" ndoa sio kama mahusiano ya bf/gf ""halafu sikatai kuwa sio kwamba hzo sio tabia za. baadhi ya wanawake lakini sio kwakiwango hcho ndugu ..mwanamke umemfuamania zaidi ya Mara 3 kisha wataka kumuoa ..jiandae kuletewa watoto ambao sio damu yako ..
jiandae kugongeawa na mdogo/kaka yako "" huyo inaonekana umalaya unazunguka kwenye misuli mishipa yake ya damu " kuhusu hilo laupataji pesa ...kupata pesa nijiuhudi zako tu na maarifa pamoja na mipango imara basiiiii" pesa huwa haipatijlkani kwa huo mtazamo maybe uwe umekwenda kwa MGanga then ukaambiwa uitumie nyota yake ...then kama hali ndio iko hivyo kama usemavyo means Siku akikuacha basiii uwe Tayari kujiaandaa kuishi ktk maisha ya dhiki
 
Duuuu we jamaa unafaa kuwa kwenye kundi la malaika watakaoongozwa na baba bashite hukooo
acha kumfanisha bashite na mambo ya kijinga ya kiwango hcho mkuu"" ujinga wa Jamaa umevuka mipaka ya ubashite
 
Mawazo kama haya jana nimemwambia mchumba wangu kuwa kama ataendelea na tabia ya kunichit kila muda itafika pahara nisimsamehe tena na moyo wangu ukisha geuka haurudi nyuma. Mimi napenda msichana mwenye kutambua thamani yake na mwenye mawazo ya kimaendeleo hata kwa mtaji wa 10000. Sio kila mda ninunulie gauni lile mara nipeleke kwenye chips.
Hapo huna mke, nakushauri ishia katika uchumba nae.
 
Back
Top Bottom