Wadada mnisamehe kidogo!

Wadada mnisamehe kidogo!

si kweli...mimi nilimvumilia wangu since tupo chuo hadi tukamaliza...

tukaingia kitaa wote tukiwa jobless...nlimtia sana moyo mana i had hopes ipo siku tutafanikiwa...

na i tried so hard not to put pressure into his life...

sikua nikimuomba pesa na wala pia sikuwa na haraka ya mafanikio...

sikuwahi kumcheat and i loved him like he was the last man on earth...

and in return he dumped me...kisa he doesn want to get married...

nikamwambia ndoa aint a big deal so long as tunapendana kama ipo ipo tu...mara oh sitaki kua kwenye mahusiano kwa sasa...so wewe move on tu kama nlivofanya mimi...sitaki kukupotezea muda...

nkamwambia muda wa kwenda wapi....namuuliza wasnt I good enough for you??? eti no your were great...nilikukosea kitu? no...sasa shida ikwapi...

Sometimes unajitoa kila hali kwa sababu ya upendo ila mwisho wa siku ni maumivu tu...

Mana nlikua pia nampa ideas za biashara...matangazo ya kazi namtumia...

Sometimes hivi vitu havina formula...
No that is the fornular but sometimes we apply it to the wrong people
 
Asilimia kubwa ya wakaka mafanikio makubwa ni wadada waliwasaidia nyie hamna shukurani.
Wote ni binadamu bhana acha tu.
Sasa hivi ndoa nyingi ni mamario tu wamejaa basi.
So muache kulalamika.
Hahahahaha,,,aisee hii kali
 
mkuu huo sio huruma ni ujinga ..kama angekuwa na huruma asingekuja kuonyesha hisia zake za maumivu hapa ""
Dah pengine ye anaona sawa, ila nachoona ni kuwa jamaa ni zoba ama goigoi labda anaogopa ku face wanawake wengine kuwaomba uhusiano.
 
Mkuu wanawake wetu hawa wa karne hii ni vichwa maji,wengi wao ni sikio la kufa yaani halisikii dawa kabisaaaaaaaaaaaa
 
Wachache watakuelewa
Ila siku zote kuna mgawanyiko
Kama ulivyo sema wachache wataelewa, Vile vile waliosalia hawataelewa.

Hata hiyo inayolalamikiwa na mleta mada vile vile kwa namna moja ama nyingine pia kuna mgawanyiko, 50/50.

Kwanini kuhangaika pasipokufaa?? (Mwanaume)
Tafuta panapokufaa.

Kwema Jozee?
 
Ila siku zote kuna mgawanyiko
Kama ulivyo sema wachache wataelewa, Vile vile waliosalia hawataelewa.

Hata hiyo inayolalamikiwa na mleta mada vile vile kwa namna moja ama nyingine pia kuna mgawanyiko, 50/50.

Kwanini kuhangaika pasipokufaa?? (Mwanaume)
Tafuta panapokufaa.

Kwema Jozee?
Umesema kweli ni muhimu kutafuta panapokufaa kabisaa kuliko kuishi sehemu isio na amani...


Huku kwema, mambo dear?
 
Yeah ni kweli...mana hapa ofcn 2nao na ukiangalia wamejaliwa
Sema ndio vile kajigeuza chakula ya ofc kila anaehamia anapewa profile lake kama unavojua we boys tok
But kuna v2 fulan katika maisha unaweza kuwa unashauriwa ww unachukulia poa
Unakuja kujitambua too late ...

Madhara yake...
Ndio wale unasikia wadangaji yaan bada ya kuona hana tena option, anageuza kua maisha yake 4rever...
Hawa mara nyingi wana ratiba nzima ya starehe zote za majini...
Au wengine wanamua kumrudia mungu na maisha yaendelea
Au sometime anakua zoazoa atakae kutana nae anajipachika col it (panic)
 
Back
Top Bottom