Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,051
Usaliti ndiyo usiseme, kuna wengine anaweza kuwa yupo vizuri lakini mwenza anankuwa mzinzi naye analipa kisasi na wenye visasi ni wanawake baada ya kuchoshwaMi naona watu wengi wasaliti tu
Usaliti ndiyo usiseme, kuna wengine anaweza kuwa yupo vizuri lakini mwenza anankuwa mzinzi naye analipa kisasi na wenye visasi ni wanawake baada ya kuchoshwaMi naona watu wengi wasaliti tu
Dah mi sipendi sana usaliti ila ndio napata wanawake wasaliti adi inakera yani!Usaliti ndiyo usiseme, kuna wengine anaweza kuwa yupo vizuri lakini mwenza anankuwa mzinzi naye analipa kisasi na wenye visasi ni wanawake baada ya kuchoshwa
Dah nadhani madhara ni hayo hayo tu! Ila kwa mwanamke inauma sana!