Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wana MMU,
Wote mnafahamu umuhimu wa first impression especially kwenye ki date. Kipindi nina date date nilikuwa kabla sijatoka lazima nijicheki jicheki najiuliza atanionaje nikivaa hivi?
Nauliza wadada hivi ni swaga zipi kwenye First date utazifagilia? (Assume ni weekend )
1)Casual simple (Mshikaji katupia Jinzi na shati mkono mrefu na snickers au viatu casual)
2)Simple kawaida(Jinzi na Tshirt simple tu labda na saa mkononi , chini viatu casual au snickers)
3)Formal ( First date jamaa katupia suti tayari, halafu we binti unatokea na jinzi na T-shirt :lol
4)Too simple ( Kaptula , sandels na T-shirt)
5)African attire (Jamaa katupia kanzu ya ki Nigeria, au shati lina picha za pundamilia na sandels)
6) Official kidogo (Shati na suruali kitambaa kachomekea , chini moka)
7)Complicated (Mchizi kaweka suruali tumboni (Papaa ya motema na bandeko), Viatu vya bluu, shati la njano ,suruali nyekundu)
8)Cheki bobu aka Sharobaro (Jamaa kaja na suruali zao hizi za pinki, T-shirt yani inambana baala, Viatu vyao vile vya ulimi nje kama mbwa wa polisi):biggrin:
Wote mnafahamu umuhimu wa first impression especially kwenye ki date. Kipindi nina date date nilikuwa kabla sijatoka lazima nijicheki jicheki najiuliza atanionaje nikivaa hivi?
Nauliza wadada hivi ni swaga zipi kwenye First date utazifagilia? (Assume ni weekend )
1)Casual simple (Mshikaji katupia Jinzi na shati mkono mrefu na snickers au viatu casual)
2)Simple kawaida(Jinzi na Tshirt simple tu labda na saa mkononi , chini viatu casual au snickers)
3)Formal ( First date jamaa katupia suti tayari, halafu we binti unatokea na jinzi na T-shirt :lol
4)Too simple ( Kaptula , sandels na T-shirt)
5)African attire (Jamaa katupia kanzu ya ki Nigeria, au shati lina picha za pundamilia na sandels)
6) Official kidogo (Shati na suruali kitambaa kachomekea , chini moka)
7)Complicated (Mchizi kaweka suruali tumboni (Papaa ya motema na bandeko), Viatu vya bluu, shati la njano ,suruali nyekundu)
8)Cheki bobu aka Sharobaro (Jamaa kaja na suruali zao hizi za pinki, T-shirt yani inambana baala, Viatu vyao vile vya ulimi nje kama mbwa wa polisi):biggrin: