Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Nimevaa enzi hizo zinaitwa gagulo, sasa hivi nguo zaja na linning ndani na pia skintight zimechukua nafasi, alafu vitambaa vya miaka hii haviingii kwenye ufyato zamani ilikuwa ukisimama nguo yote imezama. Ni mabadiliko wakuu wala haina tafsiri nyingine msikariri
 
Ventilation muhimu mkuu. Lazima rejeta ipoe kwa haraka maana siku hizi K zimekuwa busy mno a.k.a Multitasking, Multiprocessing....
 
Zamani kulikuwa hakuna ALWAYS!........ :A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
Uko sawa kabisa mkuu. Kulikuwa na vipande vya kanga na wengine walitumia hata magazeti ya Mzalendo, mfanyakazi, Ngurumo, Kasheshe, Sanifu...KWIKWIKWIKWIKWIIIIIII....
 
Siku hizi wanavaa hizi kama kaptura..........inachungulia hapa kwa mbali

sketi-ya-askari-polisi.jpg
 
kama kuvaa chupi kwenyewe shida,ndio watavaa na hizo gagulo.? siku hizi kuna haya magauni(sijui ndio yanavyoitwa ) yanayoishia kwenye mapaja, basi hiyohiyo blazia,chupi,gagulo na sk taut,!!

Ha haa haaa,mbavu zangu mie
 
si ndo zinaitwaga gagulo hizi,..kwa kweli hazina mvuto kabisa.
 
Zipo sana hujaziulizia tu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kwi kwii kwiii kwiiiii kwiiiiiii . . . . . . . . . Hujatulia wewe. Olwez na Andasketi Wapi na wapi. Kweli jf kiboko.
 
wanaacha vitu vipate HEWA.. climate change [global warming] imeathiri kila kitu siku hz...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom