Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

hahahhahaha! unanipa raha sana ndugu yangu! hiyo kitu kali we hujaisoma tu!!!

na nisiisome kabisa; naona kuna wanao-mind mimacho ya hivyo walishaomba uwaPM - endelea na hao; mi naenda zangu kupata moja baridi / nyama choma n.k
 
mh! hivi kwani ulishafikiria kunitafuta?mbona kama unakuwa mkali ghafla?hahahahahah!!!!!!!!! relax sweetie!
na nisiisome kabisa; naona kuna wanao-mind mimacho ya hivyo walishaomba uwaPM - endelea na hao; mi naenda zangu kupata moja baridi / nyama choma n.k
 
zamani ipi unayoizungumzia wewe maana mimi naona hata hayo magagulo ni ya siku hizi, zamani walikuwa wanavaa ngozi na majani ya ukili.
 
we unasema underskirt? huoni hata ch..u..pi zimepunguzwa kitambaa sana, vimebaki vimkanda tu wenyewe wanaita bikini. soon nazo wataacha siunajua tayari wengine hawavai kabisa?

si vibaya kushangaa hata mm hupanda sana kushangaa
 
we unasema underskirt? Huoni hata ch..u..pi zimepunguzwa kitambaa sana, vimebaki vimkanda tu wenyewe wanaita bikini. Soon nazo wataacha siunajua tayari wengine hawavai kabisa?

Si vibaya kushangaa hata mm hupanda sana kushangaa
hio inaitwa tube less
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Me navaa andasketi, skintait na pichu nikiwa nimevaa skirt isiyo na lainingi!
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Mzee ulitegemea undersket uzione wapi wakati zinavaliwa ndani? Wanaozivaa wanaendelea kuvaa. Shida ni kuwa unaowaona wewe ambao kwa kweli ni wachache SANA ndiyo watakuwa hawavai! ha haaaaaa.

 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


Huku kunaitwa kwenda na wakati. Wenzio wanaagalia kalenda wewe unayetaka kurudi nyuma shauri yako. Je bado unakula mkate wa Siha na mchele Kitumbo?
 
Chupi zile zenye kujaza umbo lake lote ni kama nazo zinapitwa na wakati. Wameamia kwenye mabikini. Wanaficha mashavu tu Ooh Mungu wangu tunapoelekea

Ndugu yangu si bora ingekuwa inaficha hata hayo mashavu ingesaidia,wanavaa chupi kama mstari vile hii nahisi inashindwa hata kufisha kisimi na ndo mana k nyingi siku hizi nyeusi tii kwa ajili ya kupigwa na vumbi hamna kizuizi.
Alafu mifungus kila kukicha kwa ajili ya mivumbi inayoattack direct kwenye eneo tepetepe
 
Hata mie niko puzzled.....ina maana kuwa jamaa ni gate keeper anayefunua kila mdau anayepita kwenye anga zake...lol!

Babu DC!
mkuu mimi mwenyewe bado najiuliza au yuko pale kwenye zile scan za airport!!
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nguo zinashonwa na lining mkuu, hatuhitaji tena underskirt(inajulikana pia kama "kishida"). Bado zipo zinauzwa ila sio sana kama zamani. Pia tunavaa skintight so we don't need it, ni kujiongezea mzigo wa nguo tu.
 
Underskirt=kishida, gagulo, andasketi. Tena enzi hizo unakuwa nazo za rangi mbalimbali, muhimu zilikuwa nyeusi, nyeupe, light brown. Ila zilikuwepo mpaka nyekundu, bluu n.k ili kumechisha na rangi ya nguo. Kuna zilizoshonwa kama kaptula kwa ajili ya kuvalia suruali. Nazimiss sana aisee.
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
vimini na andasketi ni kama baskeli kufungwa injini ya gari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom