Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Waliobakia wanaovaa Undasketi ni wa bibi tu!

Wewe uliufanyia wapi huo utafiti na kuona kuwa sasa hivi zinavaliwa na mabibi tuuu!!!!.Ni mabibi wangapi umeshawahi kuwafunua sketi na kuwakuta nazo??????.
 
Gharama za maisha zimepanda..
Nivae p.ichu,nivae andasket,nivae skenitait,nivae sketi yenyewe si ntakua natumia pesa yote kwenye nguo?
 
wanavaa kilichopo sokoni. haziuzwi siku hizi kwakuwa outdated
 
Kwanza ukiwauliza mabinti waliopevuka miaka ya 2005 kuja juu hata magagulo yenyewe hawayafaham...mie nimewahi uliza kama watatu wakasema gagulo ndio nn kwan????kaz ipo
 
Ndo maana siku hizi fangasi za kwa bibi haziishi, kutwa mtoto wa kike unashinda na taiti na skin jeans hata hewa haipiti, bibi wa watu hapumui.
 
kwanza wasivae chochote tu.. au watupie tu vile vyepesi rangi nyeupe then wawahi foleni kuelekea makazini.. inatosha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom