Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Nguo zinashonwa na lining mkuu, hatuhitaji tena underskirt(inajulikana pia kama "kishida"). Bado zipo zinauzwa ila sio sana kama zamani. Pia tunavaa skintight so we don't need it, ni kujiongezea mzigo wa nguo tu.
Isiwe taabu ukiona inakuwa mzigo vaa makhirikhiri ndo unakuwa umepunguza mzigio kabisa mtu wangu.Mi bado nazimind izo the so called hunder siiket nashauri ziendelee kuvaliwa kdaadek!
 
Kwenye daladala aina ya hiace nilimfuma mmoja wakati nakaa mbele nyuma ya dereva nikiangalia abiria, hakuvaa chupi kabisa kitu kipo pwaaa waaazi kabisa
Ndani ya dalada hayo mavitu ni ya kawaida kabisa mkuu. Nakumbuka enzi zile nasoma UDSM kuna wakati nikiwa idle nilikuwa napanda hiace mpaka mwenge na kurudi baadaye kwa ajili ya viburudisho kama hivyo tu.

Sasa hivi navimiss sana vituko vya kwenye daladala...
 
Sasa watavaaje gagulo na skin tyt suruali au vimini...au ww unavaa chupi ya v.i.p bado?
 
Siku hizi siredi hainogi bila picha mkuu. Weka picha!!!!!!!!!
 
Hii thread mbona inarudiwa kama wimbo wa marehemu.
 
Siku hizi siredi hainogi bila picha mkuu. Weka picha!!!!!!!!!

under-skirt-for-ladys-a8-936.jpg
 
Nime chunguza vyema kabisa nimebaini kwa wanawake hili vazi halivaliwi tena siku hizi hata madukani halipo kabisa sa sijui ndio mambo ya usasa au kushuka kwa maadili? labda niwaulize wadada wa MMU mnavaa gagulo kweli?

Mkuu hebu acha ufukunyuku...

boy-looks-under-skirt-to-mum-9161413.jpg
 
hahaahhaha lol...nkajua picha tyta tu..af nyekundu duuh..sijui mtu unavaaje hii

Hata sisi tunaweza ila tulishastaafu...

Ndio tuwaulize kina nyie hivi huwa mnavaaje haya makitu ya rangi kama hii au njano?
 
UtandaWAZI. Mambo yote yanawekwa wazi.

Inasikitisha kuona kuwa hata TAMANG'EO hawavai kabisa kwa visingizio vya kupata hewa na kupunguza madhara wayapatao akina dada tokana na joto kali. UTANDA WAzi huooooooo!
 
Nina umri wa mtu mzima wewe je?
Ungekuwa na umri wa mtu mzima kweli usingeshindwa kufahamu magazeti ya ngurumo, mfanyakazi, kasheshe, sanifu nk. Aidha inaonekana umezaliwa mijini na kukulia mijini, ungekuwa umetembelea angalau robo ya nchi enzi hizo ungebaini kuna watu vijijini mpaka leo hii elimu ya matumizi sahihi ya kondom au hata taulo za kike kwao ni kitendawili, achilia mbali kuzipata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom