Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Sio andasketi tu, Hata chupi siku hizi hawavai kabisa....
 
zipo bana..mi ninazo na ninavaa
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Lakini nasikia wengi wanavaa kama ana dose ya sindano kwa Dokta.
 
Chupi zile zenye kujaza umbo lake lote ni kama nazo zinapitwa na wakati. Wameamia kwenye mabikini. Wanaficha mashavu tu Ooh Mungu wangu tunapoelekea
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

...zinachelewesha TUKIO !!!! kukusaidia vizuizi vingi kama trafiki njiani havitakiwi ...gagulo linakera kama jinsi matrafiki wanavyokera barabarani ....

ila Faida ya makufuli mengi kwa wanawake ....joto hutengeneza mvuto mzuri wa rangi katika mapaja kama ni mweusi rangi ya cocoa maarufu kama maziwa maziwa namaanisha mambo lainilaini..inamuhusu (maabara ya asili)...kwa sasa ni kitu adimu sana kukipata mkorogo umeharibu atmosifia ya asili eneo la tukio...kama ni mechi tegemea mabao ya mfululizo 5 bila 6 bila kama ni kiwanja chenye vizuizi vingi...

..mambo ya faida zake tembelea sana vijijini....vijiji vya ndani sio vile vilivyo pembezoni mwa bara bara kuu...

pamoja jomba!!
 
Underskirt zinavaliwa na wale wa bush tu,wamjini wanaogopa zinawaumiza
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums


zamani ilikuwa gagulo si andasketi
 
Skin jeans na gagulo wapi na wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom