Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Kama umevaa nguo haionyeshi underskirt ya nini na joto hili..Huwa inavaliwa kutegemea umevaa nguo ya aina gani
nguo za siku hizi zina line ..si ndo undersket yenyewe ama? mi mambo ya kujijaladia siwezi mimi? mi mwili wangu ni free mahewa!
 
Wakat tunakua, wasichana walikua wakivaa sketi, lazima ndani kuwe na sketi laini (andasketi) kwa ajili ya kujisitiri! Siku hizi sion andasketi zikivaliwa, au hata madukani zikiuzwa! Kulikoniiiii???

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
siku hizi zinaitwa GAGULO ndio sababu huzioni madukani wewe kaulizie gagulo utaziona
 
si ndio mnavyopenda jamani nyie kaka zetu?mpaka mkaliwe u.c.h..i ndio mnatangaza hadi ndoa! hahahhahahahah! nacheka mie jamani!

..oyaaa jamiif nshakuzimia ujue ! hiyo pozi nimeikubali sana,unasemaje ?

cc Tutor B
 
Last edited by a moderator:
mnataka tudumae tusikue kila saa mavyupi ? kwani sisi watoto useme tunajikojolea?

..dada Smile basi tume kuelewa,ukipenda na sketi usivae kabisa mi nitakuelewa wala sitashangaa...
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini hasa ninyi wanaume mnatufuatafuata kuhusu uvaaji wetu wakati ninyi siku hizi mnavalia suruali chini ya ncha ya ma.ta.ko Kwa hiyo ninyi mna sababu gani ya kutuonyesha hayo ma.ta.ko yenu? Mkijibu hili nami nitawajibu kwa nini hatuvai under skirts.
 
hahahhahaha! unanipa raha sana ndugu yangu! hiyo kitu kali we hujaisoma tu!!!
Kama kurembua ndo hivyo .... mi najitoa kwenye ligi ya wanaokutafuta. Makengeza si makengeza ... nini si nini - ebu badili basi hiyo avatar
 
Kama wameacha andersketi. Kuna hatari ya wanawake kuacha kuvaa chupi. Hatari ni hii, Mashavu yatashuka sana ambayo huko patakuwa kama mtu mwenye busha dogo.
Tutapata tabu sana mpaka tuyazoee hiyo mikate bumunda
 
Proof of global warming underpants.JPG
 
Kama wameacha andersketi. Kuna hatari ya wanawake kuacha kuvaa chupi. Hatari ni hii, Mashavu yatashuka sana ambayo huko patakuwa kama mtu mwenye busha dogo.
Tutapata tabu sana mpaka tuyazoee hiyo mikate bumunda


Duh! hiyo ni mpya; yakilegea kihivyo naacha kabisa kukunguta vitumbua vya wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom