Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

Wadada mmeacha Kuvaa magagulo

si ndio mnavyopenda jamani nyie kaka zetu?mpaka mkaliwe u.c.h..i ndio mnatangaza hadi ndoa! hahahhahahahah! nacheka mie jamani!
 
Kwa stlye hii tumekwisha; mnatutega kila kona jamani
 
si ndio mnavyopenda jamani nyie kaka zetu?mpaka mkaliwe u.c.h..i ndio mnatangaza hadi ndoa! hahahhahahahah! nacheka mie jamani!

mimancho hiyo kwenye Avatar inatisha, hata ukikaa uchi dude langu halisimami ng'ooooooooooo!
 
mabadiliko katika hali ya hewa ndio yamesababisha. papuchi inaweza kuiva kwa hali hii.
 
Kama umevaa nguo haionyeshi underskirt ya nini na joto hili..Huwa inavaliwa kutegemea umevaa nguo ya aina gani
 
hahahahahahah!!!!!macho ya kurembua hayo wewe!!!!

Kama kurembua ndo hivyo .... mi najitoa kwenye ligi ya wanaokutafuta. Makengeza si makengeza ... nini si nini - ebu badili basi hiyo avatar
 
mie undersketi sivai napendelea SHIMIZI zaidi ... kwi kwiiiiiiiiii
 
Mpwa hii research umeifanyia wapi ukajua hilo? mmmmh haya inawezekana ikawa na ukweli
Elli, zaman zilikua zinaonekana hata kwa bahati mbaya mpwa! Sema hata shemeji yako hana aisee! Nafkiri mara ya mwisho niliiona andasketi kwa my ex mwaka 2007!


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu wangekufuma ukiwachungulia saa hizi ungekuwa uso kwa uso na Bensauda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom